Weee mbona unashabikia mambo ya vita!!!! Acha upumbavu, fikiria watu wangapi wanakufa kwa vita, acha ujinga, unakaa mitandaoni kuandika upumbavu.Iran kagoma kunasa, kha! Tumemsaka sana huyu, yaani kashikwa kidevu, kapapaswa na kupigwa vibao ila wapi amegoma kufanya kweli ili tumtandike.....
Kawatukane KOBAZWeee mbona unashabikia mambo ya vita!!!! Acha upumbavu, fikiria watu wangapi wanakufa kwa vita, acha ujinga, unakaa mitandaoni kuandika upumbavu.
Oyaa mabwana zako wamegongwa wanabaki kuhahaIran kagoma kunasa, kha! Tumemsaka sana huyu, yaani kashikwa kidevu, kapapaswa na kupigwa vibao ila wapi amegoma kufanya kweli ili tumtandike.....