Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Angempiga Yahudi kimya, kimya kama unamfinya mkorofi mbele ya mkutano wa Rais tena wa North Korea.Iran imetangaza jioni hii kuanzia tarehe 4 saa 8 mchana Anga lake litafungwa Hadi tarehe 6 November saa 12.30 jioni.
Vyombo vya habari vya kimataifa vinasema tayari mambo yameiva ni wazi Iran anajiandaa kutekeleza operation true promise 3. Tukae mkao wa kula.
View attachment 3141635View attachment 3141636
wakati huo huo, madege kadhaa yameshatua Qatar, pia, Misri inaruhusu meli za kivita za kiyahudi kupiga kuelekea Yemen, kwa hiyo iran atakapokuwa anapigwa, wahuthi wa yemen hawatafanya chochote. kule lebanon hezbollah wameshafungwa kengele hawana lolote.Iran imetangaza jioni hii kuanzia tarehe 4 saa 8 mchana Anga lake litafungwa Hadi tarehe 6 November saa 12.30 jioni.
Vyombo vya habari vya kimataifa vinasema tayari mambo yameiva ni wazi Iran anajiandaa kutekeleza operation true promise 3. Tukae mkao wa kula.
View attachment 3141635View attachment 3141636
Sawa, ila tuambie hapo ametishiwa nani?Hivi mambo ya vitisho yataisha lini, wewe kama siraha unazo si uzitumie tuone? Taarifa na vitisho vya kijinga naona kama ni ishara ya kushindwa
Yeye kaamua kufunga anga yaheshimiwe maamuzi yake.Hivi mambo ya vitisho yataisha lini, wewe kama siraha unazo si uzitumie tuone? Taarifa na vitisho vya kijinga naona kama ni ishara ya kushindwa
Ni maoni Yako ,lazima yapokeleweNaona Iran inaenda kufutika kabisaa kwenye utawala wake baada ya shambulio atakalofanya atapigwa sehemu zake zote anazotegemea.
Iran imeingia chooni bila kujijua