Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe 4 ni kabla au baada ya uchaguzi!? What are writing ?Israel itashambuliwa siku ya uchaguzi wa Marekani au kabla na si vinginevyo
Safari hii Iran atatumia proxy zote middle east,yemen,iraq, lebanonTarehe 4 ni kabla au baada ya uchaguzi!? What are writing ?
Siyo kwamba kanusa kuna kipigo kingine?Iran imetangaza jioni hii kuanzia tarehe 4 saa 8 mchana Anga lake litafungwa Hadi tarehe 6 November saa 12.30 jioni.
Vyombo vya habari vya kimataifa vinasema tayari mambo yameiva ni wazi Iran anajiandaa kutekeleza operation true promise 3. Tukae mkao wa kula.
View attachment 3141635View attachment 3141636
ni wazi Iran anajiandaa kutekeleza operation true promise 3. Tukae mkao wa kula.
Sema nimeisaka hii taarifa sijaionaTarehe 4 sio mbali ngoja tuone, ila kwanini Iran ametangaza kabisa? si ana wa alert wa Israel? T14 Armata
Sema nimeisaka hii taarifa sijaionaTarehe 4 sio mbali ngoja tuone, ila kwanini Iran ametangaza kabisa? si ana wa alert wa Israel? T14 Armata
kwanini anatoa taarifaIran imetangaza jioni hii kuanzia tarehe 4 saa 8 mchana Anga lake litafungwa Hadi tarehe 6 November saa 12.30 jioni.
Vyombo vya habari vya kimataifa vinasema tayari mambo yameiva ni wazi Iran anajiandaa kutekeleza operation true promise 3. Tukae mkao wa kula.
View attachment 3141635View attachment 3141636
Kwakweli kuna watu wanaumia bila ya kufaidika na chochote humo, viongozi wanaiingiza nchi kwa rafiki wanaye mtaka wao ila sio anae takiwa na wanachi, sasa matatizo yakianza ndio utaona wao mbio kwenye mikutano huko na huko, lakini wananchi wanakatwa tu viungo vyao.Vita Ni Mbaya