Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Wamejifungia wenyewe,myahudi anaingia , piga na kutoka anavyotaka, na sasa viberiti vya 300 vimechomwa vyote, Iran maneno tuu kama kina Ritz na faizafoxy wa JF
 
Angempiga Yahudi kimya, kimya kama unamfinya mkorofi mbele ya mkutano wa Rais tena wa North Korea.
Tahadhari muhimu ili nchi zingine wazingatie hizo tarehe wasipitishe ndege zao unaweza kuanzisha mgogoro mwingine kwa kuangusha ndege ya somalia ambayo ilikua inajipitia zake tu Wala haijui kinachoendelea.
 
Naona Iran inaenda kufutika kabisaa kwenye utawala wake baada ya shambulio atakalofanya atapigwa sehemu zake zote anazotegemea.
Iran imeingia chooni bila kujijua
Kweli kabisa. Hiyo ni kutokana na uhakika kwamba mzee wa Suluhu(USA) au mzee wa kumdhibiti Myahudi asimpige mno Iran na proxys wake kupita kiasi (Kama ilivyo jitokeza USA kumkataza IDF asipige vituo vya mafuta au Nukes) sasa USA atakuwa bize na Uchaguzi hatakuwa na muda wa kumdhibiti Israel -Labda iwe baada ya uchaguzi. Kwa mantiki hiyo Israel atamfumua Iran kishenzi na kwa hasira zote na Iran hatokuwa na mahali pa kulia lia eti mzee naomba umshike/umzuie huyo kijana (IDF) walau nipumue kidogo. Iran anaenda kufa na tai yake shingoni. Ngoja Iran aliamshe kizembe tushuhudie kipondo.
 
Naona Iran inaenda kufutika kabisaa kwenye utawala wake baada ya shambulio atakalofanya atapigwa sehemu zake zote anazotegemea.
Iran imeingia chooni bila kujijua
Kweli kabisa. Hiyo ni kutokana na uhakika kwamba mzee wa Suluhu(USA) au mzee wa kumdhibiti Myahudi asimpige mno Iran na proxys wake kupita kiasi (Kama ilivyo jitokeza USA kumkataza IDF asipige vituo vya mafuta au Nukes) sasa USA atakuwa bize na Uchaguzi hatakuwa na muda wa kumdhibiti Israel -Labda iwe baada ya uchaguzi. Kwa mantiki hiyo Israel atamfumua Iran kishenzi na kwa hasira zote na Iran hatokuwa na mahali pa kulia lia eti mzee naomba umshike/umzuie huyo kijana (IDF) walau nipumue kidogo. Iran anaenda kufa na tai yake shingoni. Ngoja Iran aliamshe kizembe tushuhudie kipondo.
 
Safari hii Iran atatumia proxy zote middle east,yemen,iraq, lebanon
ikiwemo pia Syria. Hao wote wameshaandaliwa. Lakini pia tusisahau kwamba Myahudi naye atakuwa amejiandaa. Tunausubiri kwa hamu huo mtanange. Historia inataka kujirudia.
 
Hawa wanataka kuwapoteza watu maboya Ili china, Russia wafanye udukuzi katika uchaguzi wa marekani ili mtu wanaye mpenda ashinde otherwise kama unataka kumshambulia adui yako kuna haja gani ya kupiga panda si ufanye kimya kimya.
Mbona Israel naye alimwahidi Iran kwamba lazima atajilipiza kisasi na akawa nafanya maandalizi na akaonywa /akashauriwa na USA asipige maeneo ya visima vya mafuta au nyuklia ? Ila hakutaja tarehe. Kwa hiyo Iran anajiona ni mbabe sana na anamtangazia Israel labda ni ili kumjaza Israel hofu pengine Israel aombe mazungumzo ya amani(Truce). Hii nayo ni mbinu mojawapo vitani.
 
Hii taarifa sijaiona sehem yoyote
Hiyo fuatilia zaidi
Screenshot_20241102-190821_1.jpg
 
Anatoa taarifa ili vyombo vya anga visipite kwenye anga yake kwasababu ana kazi maalum. Huu ni utaratibu wa shirika la anga la kimataifa ICAO muwe mnajisomea somea kidogo kupunguza ujinga mdogo mdogo.
Njia moja wapo ya kupunguza ujinga ni kuuliza hapa jukwaani. Kwahiyo na juzi hapo israel alitangaza?
 
Back
Top Bottom