Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

"Full confidence" ni lugha ya Makafiri, achana nayo kabisa isikupotezee muda.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Qur'an 49:13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. 13
 
Qur'an 49:13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. 13
Achana na hicho kifaa cha mawasiliano pia ni cha Makafiri tena kisikupotezee muda kabisa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Achana na hicho kifaa cha mawasiliano pia ni cha Makafiri tena kisikupotezee muda kabisa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Bila algorithm usaingekuwa nacho. Unafahamu ni nani huyowaliyembadili jina wakamwita algorithm?

Kama humjuwi fanya homework yako kidogo kisha uje kutufundisha ni nani huyo.

Uislam ni mwema sana.
 
Nahisi mazayuni watashambulia tena kabla Iran hajashambulia.

Maana mmarekani na nato nzima wamejikita jirani hapo na wameshaanza kuzuia Yemen amabayo wanaamini wakiishambulia Iran na yenyewe itashambulia mazayuni wa saudi arabia.
 
Rafiki siyo Mkao wa kula bali ni mkao wa kunyolewa for good! Maayatollah wa Iran wangejua where we are in the stream of time wasingecheza huo mchezo unaosema. Nimekuwa nikisema hapa mara kwa mara kuwa tunakoelekea Serikali za Dunia hii zitapiga Dini marufuku (Hiyo ni kulingana na Biblia Kitabu cha Ufunuo). Sasa ukiangalia Serikali ya Maayatollah wa Iran, wao ndiyo Serikali na wao ndiyo Dini. Set up hiyo ni lazima itapingana na Maazimio ya Serikali za Dunia; hivyo, ili unabii utimie ni lazima Ayatollah aondolewe. Kwa taarifa yenu tu ni kuwa shambulio lililofanya na Israel lilikuwa la kimkakati kiasi kwamba kwa sasa Irani yuko mtupu kiulinzi. the third round, Israel itaenda kumalizia kabisa. Na kama Mungu alivyoachia Farao awe na Kichwa ngumu ndiyo hivyo hivyo anamuachia Ayatollah awe na kichwa ngumu. He is finished for good
Haya mambo sijui mnadanganyana kanisanii hata sielewi
 
Hivi hii Iran inapewa kiburi na nani? Mbona wanataka kuangamiza taifa lao.
Ninavyofahamu Mimi ni kwamba mataifa yote ya nato hayawezi kukubari Israel inyanyasike, hivyo wakiamua kushughulika na Iran itakuwa janga
 
Hivi hii Iran inapewa kiburi na nani? Mbona wanataka kuangamiza taifa lao.
Ninavyofahamu Mimi ni kwamba mataifa yote ya nato hayawezi kukubari Israel inyanyasike, hivyo wakiamua kushughulika na Iran itakuwa janga
Jifunze kwanza kuandika kukubarika ndio lugha gani
 
Rafiki siyo Mkao wa kula bali ni mkao wa kunyolewa for good! Maayatollah wa Iran wangejua where we are in the stream of time wasingecheza huo mchezo unaosema. Nimekuwa nikisema hapa mara kwa mara kuwa tunakoelekea Serikali za Dunia hii zitapiga Dini marufuku (Hiyo ni kulingana na Biblia Kitabu cha Ufunuo). Sasa ukiangalia Serikali ya Maayatollah wa Iran, wao ndiyo Serikali na wao ndiyo Dini. Set up hiyo ni lazima itapingana na Maazimio ya Serikali za Dunia; hivyo, ili unabii utimie ni lazima Ayatollah aondolewe. Kwa taarifa yenu tu ni kuwa shambulio lililofanya na Israel lilikuwa la kimkakati kiasi kwamba kwa sasa Irani yuko mtupu kiulinzi. the third round, Israel itaenda kumalizia kabisa. Na kama Mungu alivyoachia Farao awe na Kichwa ngumu ndiyo hivyo hivyo anamuachia Ayatollah awe na kichwa ngumu. He is finished for good
Unavuta bange kijana au
 
Hivi hii Iran inapewa kiburi na nani? Mbona wanataka kuangamiza taifa lao.
Ninavyofahamu Mimi ni kwamba mataifa yote ya nato hayawezi kukubari Israel inyanyasike, hivyo wakiamua kushughulika na Iran itakuwa janga
Unyonge ushakataliwa Iran ikipata janga ujue israhell hutaiona tena
 
Irsn walizolock F35 za mmarekani na Israel zilipokwe da kushambulia, ikabidi zisisogee kuingia ndani ya Iran.

Ukiambiwa wanafungia maana yake siyo kuwa linawekwa geti, maana yake hawaruhusu ndege yoyote kukatiza anga yao. Iwe ya binafsi, biashara au kivita. Inaweza kutunguliwa.

Fikiri, walikuwa hawajatangaza kuifungia anga ili wenye kazi zao zisizohusiana na vita na majirani zao waendelee kupita kama kawaida na kue delea na shughuli zao.

Licha ya hayo, hakuna ndege ya mazayuni wala mashoga zao iliyothubutu kuingia anga ya Iran.
nafatilia kwa karibu sana kuona kama jambo hili ni serious au ni vita ya maneno tu na vitisho vya kitecholojia na kimbinu 🐒
 
Samahani ila hapa mbona kama wewe ndio unatudhihirishia wana jf kua wewe ndio mjinga pro max
Huu mgogoro nyinyi mliochagua pande za kudumu mnazingua sana. Mimi sifahamu nimeuliza swali
 
nafatilia kwa karibu sana kuona kama jambo hili ni serious au ni vita ya maneno tu na vitisho vya kitecholojia na kimbinu 🐒
Hufuatilii kabisa au hujui viashiria vya hilo suala, USA kaongeza silaha na askari mashariki ya Kati, that explains alot
 
Back
Top Bottom