Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Huu mgogoro nyinyi mliochagua pande za kudumu mnazingua sana. Mimi sifahamu nimeuliza swali
Hehehe samahani siku jua kama umeuliza swali ila jibu ni kwamba israhell sikumbuki kama walitangaza kufunga anga na kama hawakutangaza ni kwa sababu mbili kwanza hawajashambulia Iran kwa missiles ambazo kama wangefanya hivi ingekua lazima wafunge kwanza anga kuepusha ajali na ndege za commercial pili Israhell haikuishambulia Iran kutokea kwao kwahio hawakuhitajia kufunga anga yao pia hata kama wangeshambulia kutokea kwao isingewalazimu saana kufunga anga sababu walitumia ndege na sio makombora kama alivyo fanya Iran dhidi yao ama anavyotarajiwa kua atafanya
 
WAIRAN wa uku msumi tunasema sisi atumtaki Israel lkn kwakuwa kawekwa mbele yetu sisi tutqpeleka moto sisi lengo latu kuu ni Jokaaa kuuu sasa Jokaa kuuu linajificha kwenye koti la Israel tunajua hii promis 3 litatoka kama alkutoka tunakuja na promis 4 adi atoke shimon Jokaaa kuu mla watoto wachanga njiti wasionaatia wala dhambi Jokaa kuu ndio marekani isimtumie mtoto waje ije yenyewe watu washajipanga kukata kichwa chake Dunia ipone na maumivi yake. Dunia inasubilia mwanga mpya waishi bila nguvu za jokaaa kuu.mla watoto wachanga.,
 
Tusha jinsi gani iran ana nyoosha kiume na sio kike kama israel alivyo fanya .inshort israel ina hofu na Iran kuliko Iran ilivyo na hofu na israel
 
Bila algorithm usaingekuwa nacho. Unafahamu ni nani huyowaliyembadili jina wakamwita algorithm?

Kama humjuwi fanya homework yako kidogo kisha uje kutufundisha ni nani huyo.

Uislam ni mwema sana.
Hadithi za Abunuwasi hizi, hata hivyo zinafaa kutusimulia wajukuu zako 🤣

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Aada ya shambulio hilo, kitakachofuata, Wairani wataishia kuwalaani wote walioshauri waishambulie Israel. Watajuta. Marekani imekwishasema kuwa safari haitaishauri Israel chochote, wacha yawapate yatakayowapata.

Huko Iran, wanaotaka kuokoa maisha yao waondoke mapema. Iran usije ikaanza kutumia zile mbinu za watito wake, Hezbollah na Hamas, za kushambukia tokea makazi ya watu.
 
Hadithi za Abunuwasi hizi, hata hivyo zinafaa kutusimulia wajukuu zako 🤣

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Naona unapata ujauzito kumjua algorithm, ngoja tukusaidie,elimu dunia hii haikuanza miaka 200 iliyopita
 

Attachments

  • Screenshot_2024-11-03-09-53-24-827.jpg
    Screenshot_2024-11-03-09-53-24-827.jpg
    330.5 KB · Views: 1
Hehehe samahani siku jua kama umeuliza swali ila jibu ni kwamba israhell sikumbuki kama walitangaza kufunga anga na kama hawakutangaza ni kwa sababu mbili kwanza hawajashambulia Iran kwa missiles ambazo kama wangefanya hivi ingekua lazima wafunge kwanza anga kuepusha ajali na ndege za commercial pili Israhell haikuishambulia Iran kutokea kwao kwahio hawakuhitajia kufunga anga yao pia hata kama wangeshambulia kutokea kwao isingewalazimu saana kufunga anga sababu walitumia ndege na sio makombora kama alivyo fanya Iran dhidi yao ama anavyotarajiwa kua atafanya
sawa mkuu
 
Aada ya shambulio hilo, kitakachofuata, Wairani wataishia kuwalaani wote walioshauri waishambulie Israel. Watajuta. Marekani imekwishasema kuwa safari haitaishauri Israel chochote, wacha yawapate yatakayowapata.

Huko Iran, wanaotaka kuokoa maisha yao waondoke mapema. Iran usije ikaanza kutumia zile mbinu za watito wake, Hezbollah na Hamas, za kushambukia tokea makazi ya watu.
Hahahahha Iran kaipiga mara mbili Israeli na video Israeli ikichakazwa zipo ila mpaka sasa Israeli hana video hata moja inayoonesha mashambulizi alio yafanya irani yamefaulu vipi.

Iran sio bonyokwa.
 
Aada ya shambulio hilo, kitakachofuata, Wairani wataishia kuwalaani wote walioshauri waishambulie Israel. Watajuta. Marekani imekwishasema kuwa safari haitaishauri Israel chochote, wacha yawapate yatakayowapata.

Huko Iran, wanaotaka kuokoa maisha yao waondoke mapema. Iran usije ikaanza kutumia zile mbinu za watito wake, Hezbollah na Hamas, za kushambukia tokea makazi ya watu.
Hakuna kitu mnaweza mkatulisha ninyi wazayuni mwaka huu israhell huku inachapwa na kule US kunatokea Civil War raha sanaaa
 
Naona unapata ujauzito kumjua algorithm, ngoja tukusaidie,elimu dunia hii haikuanza miaka 200 iliyopita
Wazayuni ukiwaambia hawana akili wanakataa nanampa faida kwamba hio persian ndio Iran ya leo kama hajui ajue
 
Wakubwa wametafutana Ukraine imeshindikana naona wanataka kupitia mashariki ya kati
 
Hufuatilii kabisa au hujui viashiria vya hilo suala, USA kaongeza silaha na askari mashariki ya Kati, that explains alot
haina maana yoyote ikiwa silaha za kisasa zionaongezwa mwenye medani ya vita halafu hazitumiki..

we want to see serious actions on this sio maneno tu 🐒
 
Hivi hii Iran inapewa kiburi na nani? Mbona wanataka kuangamiza taifa lao.
Ninavyofahamu Mimi ni kwamba mataifa yote ya nato hayawezi kukubari Israel inyanyasike, hivyo wakiamua kushughulika na Iran itakuwa janga
Israel was designated as a major non-NATO ally in 1987 by US President Ronald Reagan and has since cooperated with NATO in the areas of technology, counterterrorism and other areas.
 
Okay, wewe muache huyo Ayatollah wako ajaribu tu tena kuleta chokochoko
adolf hitla aliwauwa mayahudi milioni 6 na huyo mungu wako wa kwenye biblia hakushuka kuja kuwasaidia why?
 
Back
Top Bottom