Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Tarehe 4 sio mbali ngoja tuone, ila kwanini Iran ametangaza kabisa? si ana wa alert wa Israel? T14 Armata
NOTAM yao kama wameitangaza kweli basi ni ndefu kwa hizo siku mbili. Mara nyingi NOTAM huwa ni ya masaa machache wakati nchi inapofanya jaribio la kombora.

Ingawa sioni ni kwanini itakuwa ya muda wote huo, labda kama wanaamini wakishambulia watajibiwa immediately. Ila napo wangeweza kutoa ya muda mfupi kisha wakaiongezea kama kutatokea majibu. Sababu wametoa window ya 2 days ila what if majibu yatakuja baada ya siku nyingi zaidi ya hapo.

So far taarifa ya mleta mada haina source
 
Wengine tulisema Iran kutangaza vifo na kuwa asali ya kushambuliwa n Israel ilikuwa janja yake Iran alizuiya mashambulizi yote lkn kataka sababu amnyooshe upya je baada Israel kupondwa upya swali atajibu tena mana Iran atakama ujampiga yeye anasema umempiga umeuwa wajeda wangu 100 na ataandaa promiss4 kwaiyo Iran atasubili kosa la kushambuliwa iwe sababu apeleke moto tutasikia promis 4 muajeni sio poaaa ngoja tusubili ili picha kesho kuamkia kesho kutwa tunasubilia promis 3 iwe jua iwe mvua yanga bingwa.
 
Iran hatuongei sana tutahakikisha magaidi wa Israel wanaishi kwenye mahandaki maisha yao yote.
20241101_081309.jpg
 
NOTAM yao kama wameitangaza kweli basi ni ndefu kwa hizo siku mbili. Mara nyingi NOTAM huwa ni ya masaa machache wakati nchi inapofanya jaribio la kombora.

Ingawa sioni ni kwanini itakuwa ya muda wote huo, labda kama wanaamini wakishambulia watajibiwa immediately. Ila napo wangeweza kutoa ya muda mfupi kisha wakaiongezea kama kutatokea majibu. Sababu wametoa window ya 2 days ila what if majibu yatakuja baada ya siku nyingi zaidi ya hapo.

So far taarifa ya mleta mada haina source
Wachambuzi feki wa mambo ya vita wa jf ambao tangu mzaliwe hata sauti ya risasi hamjawahi kuiskia mnachekesha sana
 
VITU LIVE HD FROM TEHRAN TO TELAVIV akuna chengachenga atawatoto wataona kipondwa mana kenge asikiii adi damu imtoke sikioni. Tutaona damu mbugi hii IRAN kashaamuwa kuwavua nguo wazungu mbele ya Dunia kazi kwetu yetu macho Starring Ayatollah
 
wakati huo huo, madege kadhaa yameshatua Qatar, pia, Misri inaruhusu meli za kivita za kiyahudi kupiga kuelekea Yemen, kwa hiyo iran atakapokuwa anapigwa, wahuthi wa yemen hawatafanya chochote. kule lebanon hezbollah wameshafungwa kengele hawana lolote.
Usipotoshe taarifa mkuu.
Lebanon Hizbollah hadi sasa inashambulia Israel.
Mwisho jana imeshambulia.Aya huko kufungwa kengele amefungwa wapi!??
Hizo meli ni kwaajili ya kumdhibiti Houthi katika red sea na sidhani kama wataweza.
Iran ishajipanga sio rahisi kushambuliwa kama unavyodhani.
 
Back
Top Bottom