Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Propaganda sikuizi hazifanyi kazi tuli shuhudia vitu viki shushwa kwa speed ya radi Israel ,ila hadi leo bado tuna zitafuta ndege 100 na mabomu angani ila hatuyaoni na mnavyo jua israel anavyo penda sifa hadi leo asichapishe kitu ukitoa video na picha za beiruti mnazo jaribu kuleta😅😅😅
Mbona zipo nyingi mnoo, au unataka uletewe wewe?
 
Sheikh Kitinku aliwadanganya hawa jamaa zangu wa Tandale kwa Tumbo wakasema shambulio halikuwa na madhara kabisa.

Ritz Webabu Adiosamigo Malaria 2

Na wengine wengi tulianzisha nyuzi nyingi sana.
Mimi nipo Wellington na piga nyama fresh hapa afu unaniambia nipo Tandale 😄 Njoo New Zealand uone maisha wachana na taifa fake hilo mtajikuta mnamuabudu kondoo aliye potea shauri lenu.
 
Mimi nimemjibu huyo aliyesema radar zote za Iran zimepigwa kwahio yuko uchi Israel anaweza ingia anavyotaka. Base zilizo tangazwa ni tatu je katika hizo base tatu ndio zimepigwa target 20? Na zile intecept zilizofanywa zime intercept kitu gani? Kama target 20 zimehit na Iran hadanganyi kasema hakuna mlipuko na sisi hatujaona mlipuko unaijua mlipuko wa target 20 wewe? Tena jets na makombora?
Iran haijasema kuwa ime-intercept makombora yote, imesema a significant number of misiles has been intercepted. Unaelewa maana yake?
 
Mimi nipo Wellington na piga nyama fresh hapa afu unaniambia nipo Tandale 😄 Njoo New Zealand uone maisha wachana na taifa fake hilo mtajikuta mnamuabudu kondoo aliye potea shauri lenu.
Haha,
Shekhe, kwa nini huwa mnafurahia kujichimbia kwenye nchi za makafiri?!!
Bora ungekuwa upo Yemen au Kabul, Afghanistan huko
 
Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.

Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.

Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"

Mpaka sasa:

Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa

Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.

Habari kamili hii hapa:

Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes​


"The US says this should be the end

Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes​


14m ago
(17:20 GMT)

Iran raises death toll from Israel’s attack to 4​


Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
Wanatoa taarifa kidogokidogo kama sukari enzi za ugawaji.
Mkeka wa uharibifu umezidi kurefuka leo.
 
Mimi nipo Wellington na piga nyama fresh hapa afu unaniambia nipo Tandale 😄 Njoo New Zealand uone maisha wachana na taifa fake hilo mtajikuta mnamuabudu kondoo aliye potea shauri lenu.
Tandale kwa Mtogole.
 
Ueelewe kuwa kijeshi kwa sasa Iran iko Uchi maana haina radar za kudhibiti mashambulio ya Israel tena baada ya mfumo wake wa ulinzi wa anga kubomolewa. Maana yake wakati wowote Israel akitaka kushambulia anaweza kufanya hivyo bila kizuizi. Pili inakadiriwa itachukua miaka miwili kurepair kiwanda chake cha kuchanganyia mafuta mazito ya kutengenezea makombora hivyo uzalishaji wa makombora utasimama kwa muda huo.

Israel ameishasema anayo bado bank ya targets za kushambulia Iran nyingi tu hivyo Iran akithubutu kujibu tu atapigwa kipigo kikaki zaidi.
Ukitafsiri kauli ya Iran anaogopa kuaibika zaidi hasa kwa vibaraka wake ambao walikuwa wanamwona ndiye kiboko ya Israel, anachofanya ni kujipooza kuwa madhara ni kidogo aliyoyapata ili iwe sababu ya kutojibu ili asiaibike zaidi.

MUNGU WA ISRAEL ATUKUZWE MILELE
Hata hizi s300 Russian anti misile ambazo ni hodari sana katika kutungua makombora ambazo alipewa na Urusi zote Kwishney
FB_IMG_17300401889864214.jpg
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Huu uongo unamletea nani!?
Halafu ulivyo muongo hadi unajichanganya.
Si wewe ulisema target 20 zote zimepigwa!?
Halafu unavyodanganya eti ADS ikiwekwa Dar haiwezi kulinda Dodoma.
Embu nenda kasome specification za ADS na range zake halafu urudi hapa.
Na ukae ujue Iran ana KHORDAK ADS na BAVAAR-373 ADS.
Kama ingekua Israel imefanya ilichofanya isingebaki Iraq na kushambulia kutoka Iraq bali ingeingia airspace ya Iran.
Shambulio hilo limeleta madhara madogo sana kuliko hata ilivyodhaniwa.
Habari unazoleta ni hearsay tu inasemekana inasemekana bleeh bleeh bleeeh.
Viwanda vingi vya silaha Iran ni underground no way utaweza ukavilipua.
Labda ulipue jengo la juu ila sio main factory ambazo ni underground.
Hivi wanadhani Iran ni chizi kiasi gani kuweka kiwanda cha missiles juu juu tu na milima yote ile waliyonayo? Ili kuimaliza Iran kijeshi Israhell na US lazima wafanye infantry yaan waingie kupigana kwa damu yao ndani ya Iran na hilo usumbufu wa proxy za Iran huku nje hawatatoboa kamwe
 
Kwa nini Iran hatalipa kisasi?Anapingana na maandiko ya kitabu kitakatifu cha dini ya haki?
Ukweli ni kwamba strategically Iran kapigwa PRECISELY hana tena ujanja wa kurusha makombola hadi ajifanyie matengenezo ya muda mrefu.
Uzuri Mzayuni akishapiga anakaa kimya.
Lipizeni kisasi kiwakute kitu!
Wew unafikiri Iran atakaa kimya? Njia pekee ya kumtuliza Iran ni kumchekecha kumtolea vikwazo na kumaliza mzozo wa gaza na lebanon vinginevyo moto utawaka tuu ikubali ukatae, hio insecurity hapo Israeli ni kazi ya Iran
 
Si ajabu Ayatollah hayupo duniani..!
As Iran plans its retaliatory attack against Israel, reports are emerging that the country’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei is “seriously ill”. According to a New York Times report, the 85-year-old Iranian supreme leader is suffering from a serious medical condition. The report suggested that Khamenei’s second-oldest son, Mojtaba Khamenei will likely succeed him when he dies.
 
Back
Top Bottom