Iran yatishia kuziba mfereji wa Gibraltar ambako meli zinazozunguka Afrika Kusini hupita kwenda Israel

Iran yatishia kuziba mfereji wa Gibraltar ambako meli zinazozunguka Afrika Kusini hupita kwenda Israel

Hasira tu hizoo.tuma namba nikurushie buku unywe Pepsi baridi.🤣
Ata wa Tanganyika tumewahukumu kuwanyonga magaidi waislamu mpaka wafe , inamaana na wewe mtanganyika una hasira nao

Omba Mungu husije ingia anga za magaidi waislamu, wanakuomba Aya moja ya kitabu Cha pedophile Muhammad ukishindwa unakula kisu Cha shingo
 
Ata wa Tanganyika tumewahukumu kuwanyonga magaidi waislamu mpaka wafe , inamaana na wewe mtanganyika una hasira nao

Omba Mungu husije ingia anga za magaidi waislamu, wanakuomba Aya moja ya kitabu Cha pedophile Muhammad ukishindwa unakula kisu Cha shingo
Mihemko.com
 
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini inayounganisha mabara na nchi nyingi katika usafiri wa baharini.Mfereji huo uko baina ya kaskazini ya Afrika eneo la Morocco na Spain na ndipo meli zote zinazoelekea Ulaya kaskazini na Marekani zinapopita baada ya kupita mfereji wa Suez
Tamko hilo limetolewa na Brigedia Mohammad Reza Naqdi wa Iran.Japo Iran haipakani moja kwa moja na mfereji huo lakini washirika wake wa Lebanon na Syria wanapakana na bahari ya Medeteranean.
Kuonesha kuwa chagizo hilo linawezekana pindi washirika hao wakikusudia,leo meli nyengine yenye uhusiano na Israel ikitokea Saudi Arabia kuelekea India imepigwa na droni na kushika moto pamoja na kwamba eneo hilo tayari lina ulinzi wa nchi 20 zikiongozwa na Marekani.

Iran threatens to shut Strait of Gibraltar as tensions ramp up

Porojo labda wangekuwa jirani na hapo
 
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini inayounganisha mabara na nchi nyingi katika usafiri wa baharini.Mfereji huo uko baina ya kaskazini ya Afrika eneo la Morocco na Spain na ndipo meli zote zinazoelekea Ulaya kaskazini na Marekani zinapopita baada ya kupita mfereji wa Suez
Tamko hilo limetolewa na Brigedia Mohammad Reza Naqdi wa Iran.Japo Iran haipakani moja kwa moja na mfereji huo lakini washirika wake wa Lebanon na Syria wanapakana na bahari ya Medeteranean.
Kuonesha kuwa chagizo hilo linawezekana pindi washirika hao wakikusudia,leo meli nyengine yenye uhusiano na Israel ikitokea Saudi Arabia kuelekea India imepigwa na droni na kushika moto pamoja na kwamba eneo hilo tayari lina ulinzi wa nchi 20 zikiongozwa na Marekani.

Iran threatens to shut Strait of Gibraltar as tensions ramp up

Mbona hazibi???? Iran ndio nchi mnayotegemea waislam kupambana na Israel?? baada ya mataifa yote ya kiislamu kupigwa kila kukicha hadi wamenyosha mikono yao juu refer majirani wote wanaozunguka Israel

Israel ni taifa la akina mama tu, kazi yao ni kuonea wanawake na kuwabaka tu wanawake wao huko, hamna lolote jipya kwa Iran ok🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona hazibi???? Iran ndio nchi mnayotegemea waislam kupambana na Israel?? baada ya mataifa yote ya kiislamu kupigwa kila kukicha hadi wamenyosha mikono yao juu refer majirani wote wanaozunguka Israel

Israel ni taifa la akina mama tu, kazi yao ni kuonea wanawake na kuwabaka tu wanawake wao huko, hamna lolote jipya kwa Iran ok🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakubaliana na wewe.Mataifa ya kiislamu yamekuwa dhaifu kutokana na kuongozwa na wafalme na viongozi wa kuwapachikwa.
Kama Muhammed Morsi angekuwepo Palestina ingekuwa ishapata uhuru wake.
Kama Morocco inatawaliwa na mwanamume kama Houth basi hakuna meli ingepita pale kuelekea Israel.
Iran hawalaumiki moja kwa moja kwani wanafanya isipokuwa hawaendi mbali wanafikiria sana miradi yao ya nyuklia na viwanda vya teknolojia.Ndio maana wanapeleka misaada kwa siri kwa wengine ili wapigane kwa niaba yao.Si mbaya sana.
Lakini nakukumbusha tu kuwa kuziba alikokusudia Iran haikuwa na maana ya kupeleka meli yake na kuanza kupiga meli zinazopita au kuzui zisipite.Kuziba alikokusudia na ana uwezo nako ni kupiga kwa droni meli za Israel mpaka zihofu kutumia mfereji huo nao.Hilo si lazama lifanyike mara baada ya tamko.Tegemea kuona vitu kama hivyo huko mbele iwapo Israel haitositisha vita gaza/
 
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini inayounganisha mabara na nchi nyingi katika usafiri wa baharini.Mfereji huo uko baina ya kaskazini ya Afrika eneo la Morocco na Spain na ndipo meli zote zinazoelekea Ulaya kaskazini na Marekani zinapopita baada ya kupita mfereji wa Suez
Tamko hilo limetolewa na Brigedia Mohammad Reza Naqdi wa Iran.Japo Iran haipakani moja kwa moja na mfereji huo lakini washirika wake wa Lebanon na Syria wanapakana na bahari ya Medeteranean.
Kuonesha kuwa chagizo hilo linawezekana pindi washirika hao wakikusudia,leo meli nyengine yenye uhusiano na Israel ikitokea Saudi Arabia kuelekea India imepigwa na droni na kushika moto pamoja na kwamba eneo hilo tayari lina ulinzi wa nchi 20 zikiongozwa na Marekani.

Iran threatens to shut Strait of Gibraltar as tensions ramp up

Kuna jamaa yangu ndani ya realm ya Marekani ameniambia hii vita ni kubwa kuliko tunavyoiona.

Tujiandae kwa vita kuu ya dunia. Hotuba ua Netanyahu pale UNGA baada ya shambulizi la Oktoba 7 ilielezea kiufasaha namna AI itakavyotumika ingawa wengi hawakumuelewa
 
Kama Israel anashambulia misaada yakibinadamu inayoenda Gaza, nihalali Yemen na Iran wakishambulia meli zote zinazoenda Israel.
Umekumbusha jambo muhimu sana.
Misaada ya kuingia Gaza watu wanaihitaji na wanakufa njaa kwanza Israel anaizunguusha huku na huko na kuichelewesha kupita kisasi juu ya kwamba ni kidogo mno.Watu wanadhalilika kwa njaa mpaka matajiri wamekuwa omba omba na kukimbizana kufuata misaada hiyo.
Kuna siku askari wa Israel wanaichoma moto ile iliyokwishakuingia.Kimebaki nini kwa watu wenye huruma kuzuia meli zinazokwenda Israel zisipite maeneo yao.
 
mipasho ya aina hiyo yanatambulisha jinsia yako.
Hujaona ya kuwa hasara ya hii vita haiko upande mmoja pekee.Na kila siku zinavyokwenda Israel na Marekani wataumia zaidi.
Kama wote wanaumia shida nini!? Hapa naona kuna mmoja anaumia zaidi.
 
Back
Top Bottom