Iran yatoa Onyo kwa nchi yoyote ya Kiarabu itakayoruhusu Israel na Marekani kutumia anga au ardhi yake kushambulia Iran itaadhibiwa vikali

Ki namna gani
Islam's dominant sect, which roughly 85 percent of the world's 1.6 billion Muslims follow, view Shia Islam with suspicion, and extremist Sunnis have portrayed Shias as infidels, heretics and apostates.
 
Soon gani hiyo ambayo unatandikwa Kila siku lakini una kazi ya kusema soon tumechoka kusubiria
 
Kwa taarifa yako uelewe kwamba Israel ni muhimu kwa Saudi Arabia kuliko Iran na Saudi Arabia anaelewa kwamba Wairan ni makafiri tu.
😂😂😂😂 Leo mnawakumbatia waislamu wa Saudi Arabia ili tu kuepuka adhabu ya muirani . Na Bado mtasema yote
 
Huyo anakuja na ile mikwara kama ya Russia kwamba ole wake atakaye isaidia Ukraine atakiona kilicho mnyoa kanga manyoya lkn hadi leo hatujaona kitu...!!
 
ungeendelea kaka,Hawa wengine wamejaa ushabiki na kutulisha matango pori
 
Mugabe huyu huyu au mwingine! Kichaa aliyeng'ang'ania Madaraka mpaka anajikolea mwenyewe! Huu utani Sasa.
 
IRAN ajawatisha waarabu ila kawakumbusha tu kuwa kufanya kosa la aina hiii azabu yake ni aina hii chaguo wanalo wanyewe waarabu muimu wasije sema awakuonywa ujumbe umefika sote tumeshuhudia vibalaka matumbo joto. IRAN anawazoom tu.
 
Bwana Yesu apewe sifa
 
Hata Russia alitoa onyo kama hili, lakini halikutiliwa maanani na wanaume, bado wanatoa misaada ya kijeshi huko Ukraine
 
Kama waisrael wenyewe ndio awa kilio tupu uyu mwarabu akijichanganya msiba unahamia kwao muiran onyo kashatoa baada y apo anabutua.
 
Hii sasa ni rasmi, Iran hawalali kwa uoga na hofu ya kushambuliwa.

Waambieni, hao persians, Waebrania hawana nia ya kuwashambulia, waache kujinyeanyea.
 
Kwa watakaoelewa tu.
Vita ya Israel na maadui zake haitaisha leo wala kesho. Bali kutakuwa na utulivu wa vipindi vifupi tu.
Na wengi hawajui kuwa mipaka iliyowekwa kimataifa Israeli hawaitambui.
Kwa wanaosoma Biblia kuna mipaka ya taifa la Israel imo mule na hiyo ndiyo wanayoitafuta.
Bado litafuata la hekaru lililojengwa na Suleiman.
Litajengwa palepale lilipobomolewa, haijalishi kimejengwa kitu kingine. Ni lazima kilichojengwa juu kibomolewe lijengwe Hekalu.
 
Mkuu embu ongea kama mtu mzima basi.
Billions of dollars hiyo siyo hasara!?
Hata ingekua hasara ya mia moja ni hasara.
Houthi ni kundi linalopewa msaada wa silaha, jeshi na fedha na Iran.
Kuna IRGC soldiers ndani ya Houthi kama ulikua hujui.
Saudi Arabia kuwa na uchumi mkubwa hiyo inatambulika toka zamani,ila usisahau Iran ni nchi yenye economic sanctions 40+ years lakini ni middle upper income country.
Nenda kafanye tafiti ujengaji wa petroleum plant ni mamilioni mangapi kesha urudi hapa.
 
na hapo ndio utakuwa mwisho wa Israhell
Mzee hakuna nchi yoyote ya kufikisha mwisho wa Israel hapa duniani hata malaika mwenyewe hawezi, mpaka kwa idhini ya Mungu mwenyewe na haitatokea mpaka mwisho wa mbingu na nchi.

Huyo muajemi (Iran)Mungu mtu wenu mnayemsifia na kumuimbia haleluya,atachakazwa kama farao wa misri na Musa,mashabiki wote wa Iran wataona nyotanyota vichwani mwao na hawataamini kitakachotokea.
 
Kaka huna point bado. If attack ya iran ingekuwa ina damage kihadi hiko leo saudi angekeua haganayi kitu bila iran kuruhusu, or wasingekuwa ecomic power house, billions of dollar is nothing kama saudi ame revover in short period of time

Once again attack ya iran ilikuwa na damage ndogo sana. Na kwa sasa hawatoweza kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…