Iran yatoa Onyo kwa nchi yoyote ya Kiarabu itakayoruhusu Israel na Marekani kutumia anga au ardhi yake kushambulia Iran itaadhibiwa vikali

Nani alipeleka majeshi Yemen juzi tu hapo akisaidiwa na USA Ili kupambana na Houth?. Mbona kwa sasa Yemen hakuna fujo?.
Nani kasema Yemen hakuna Fujo? Yemen imekuwa failed State no one care for it Ndio maana haiongelewi, kwa sasa Yemen imegawanyika vipande viwili
 
Iran.

Iran anazibadilisha kuwa Vassals
Na Marekan kwa nn aliivamia 2002/2003 alikua anataka nini?. Je baada ya hio 2003 imetulia ?. Hata hio 1980 Marekan alikua anasapot nchi gani na kwa nini aliigeuka 2002?.

Kua na kiasi na uzungumze logic basi maana Kila mtu anaelewa nini kinaendelea na nini kilitokea.
 
Makombora missiles yatafika tu Tehran bila kupewa ruksa ya kutumia anga air space. Hawa Iran ndiyo hawa waliopigana na Saddam wa Iraq miaka 10 kuifikia Baghdad hadi wakakubali yaishe.
 
Nani kasema Yemen hakuna Fujo? Yemen imekuwa failed State no one care for it Ndio maana haiongelewi, kwa sasa Yemen imegawanyika vipande viwili
Yemen ni Moja ndio maana hata juzi Marekan kasema Houth wasishambulie meli Ili aitambue kama Serikal halali. WEST na USA wakishindwa kutambua Serikali sio kwamba nchi imegawanyika. Hata Venezuela tumeona na tuliona.
 
Huo mkwara aliutoa Russia(baba ake Irani), mara oo atakaye mpa siraha Ukraine naye atajumuishwa kwenye mgogoro, miamba ilimpa siraha na ilikuwa ikitaja na aina iliyompa. Alifanya nn
 
Migogoro ilianza wakati mtume anaumwa na alivyofariki ndo zikwa brutal battle na hazitakaa ziishe
 
Walishakaririshwa hawa watu, daima wako upande wa wasio waislamu, isipokua baadhi wenye kujitambua, hata Qur'an imeshawazungumzia hawa watu, hawatakua radhi nasi mayahudi na Manaswara mpaka tufuate mila zao
Kama mlishindwa kuzuia kuanzishwa kwa taifa la israel mwaka 1946 ndo mfute mila zao
 
Yemen ni Moja ndio maana hata juzi Marekan kasema Houth wasishambulie meli Ili aitambue kama Serikal halali. WEST na USA wakishindwa kutambua Serikali sio kwamba nchi imegawanyika. Hata Venezuela tumeona na tuliona.
Yemen sio Moja



Hii ni Taarifa ya Al-Jazeeraa kuhusu Houthi na Yemen.

Yemen inaserikali inayotambulika Dunia nzima na kuna Kundi la waasi wa Kabila la Kishia kinaitwa Houthi ambao wanapokea Silaha nyingi sana kutoka Iran

 
Asichotaka Iran ni makombora kurushwa kutokea ndani ya nchi nyingine tofauti na Israel. Kwa mfano base za USA zilizopo Saudia zimshambulie Iran kutokea Saudia hapo Iran atashambulia Moja kwa moja makombora yalikotokea. Nadhani umeelewa.
Kwenye vita huwezi mpangia adui yako jinsi ya kupigana anachofanya iran ni kichekesho
Hata kama saud arabia anamsaidia iran kwa akili yako unadhani atamwambia iran kwamba nimemsaidia israel
Kauli nyingine ni za kiogo yeye ajiandae

Hezbollah walirusha makombora zaidi ya mwezi israel ya kaskazini amekuja kujibu kaanza na vifaa vya mawasialiano, kaja solar panel mara redio maeneo ambayo hutegemei kabisa alafu mwishoni kau uongozi wote wa hezbollah

Aache kelele na mikwara ya kichaa cha mbwa
 
Inabidi nitulie nije niandikie Why baada ya Ottoman kuanguka na vita za middle east zilizopo sasa zikaanza rasmi... I see wapi Watu wengi hamuangalii sababu ya Nchi za Mashariki zinapigana kila siku...

Hata Iran isipopigwa na Marekani itapigana yenyewe kwa yenyewe ni suala la muda
 
Yemen ni Moja ndio maana hata juzi Marekan kasema Houth wasishambulie meli Ili aitambue kama Serikal halali. WEST na USA wakishindwa kutambua Serikali sio kwamba nchi imegawanyika. Hata Venezuela tumeona na tuliona.
Yemen sio moja acha ubishi wa kitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…