Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48

Iran yaweza kuishambulia Israel ndani ya saa 48

Mwanaume mmoja anashambuliwa na madada 5
Mimi si ndio kila siku nawambia nchi inayo jiita israel ni shoga tu, lazima akusanye warabu wamlinde Jordan, UAE, Saud Arabia. Egypt, Morocco na Western na America hilo taifa la kishoga halina chochote zaidi ya maneno ya kanga 😄
 
Hivi dogo we uko dunia ya wapi hi tunayo ishi sisi, Israel alikuwa analia mwezi ulio pita hana silaha US ili ampe, Juzi walikuwa wanaomba nchi za kiarabu zimsaidie si ndio nakuambia wewe labda funza wale wako chini ya milima ya sekenke. Tazama hata gazeti lao linaongelea vipi America na badhi ya nchi za warabu wanaomba Iran asimpige Israel.

Nyie vijana mlioshupalia tamaduni za kigeni mna shida sana. Unajua kwamba mkakati wa Israel kuwaangamiza magaidi na mfadhili wao Iran uko palepale na Israel hajutii kuwaangamiza akina Haniyeh.

Hivyo ni kwamba Iran ashambulie asishambulie lkn mkakati wa Israel haubadiliki sasa hapo utasemaje Israel anaogopa na usishangae mkakati huo ukamnasa Ayatollah mwenyewe ambaye ndiye mfadhili mkuu wa hao magaidi.

Subiri utaona mwenyewe.
 
US says seeking to limit attacks and response, urges G7 allies to use diplomatic pressure to try to avert regional war.

Marekani na washirika wake wanatapatapa tu. Iran ataishambulia Israel kwa wakati wake ambao anaona ni sawa.

Wanawapangia Iran…
Huyo iran hana lolote ni mikwara mbuzi tu kama mtu anakuja nyumbani kwako na anamgonga mkewe makofi umeshindwa kuzuia unabaki viapo tu
 
Jihadists mjifurahishe tu lkn mjue kwamba magaidi wataendelea tu kuuliwa pamoja na mfadhili wao Iran na watawala wao.

Israel angekuwa anaogopa asingekuwa anawapeleka magaidi kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai.
 
Jihadists mjifurahishe tu lkn mjue kwamba magaidi wataendelea tu kuuliwa pamoja na mfadhili wao Iran na watawala wao.

Israel angekuwa anaogopa asingekuwa anawapeleka magaidi kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai.
Umesikika katibu wa LGBTQ+ kanda ya maziwa makuu
 
Jihadists mjifurahishe tu lkn mjue kwamba magaidi wataendelea tu kuuliwa pamoja na mfadhili wao Iran na watawala wao.

Israel angekuwa anaogopa asingekuwa anawapeleka magaidi kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai.
Umemsahu Bikira Maria wafike 73
 
Mi hii issue siilewi kidogo. Hivi kama Israel alishirikiana na wa Iran wasaliti wakatega bomu ndani ya jengo miezi miwili kabla ya Haniyeh kuingia mule inakuwaje leo Iran aishambulie Israel badala ya kudeal na raia wake walioamua kuisaliti nchi yao? Kwakweli kwa lile tukio la kwanza Israel kuushambulia ubalozi wa Iran niliona kabisa Iran ana haki ya kulipiza ila kwa hili la wa Iran baadhi kushirikiana na Israel kuihujumu nchi yao naona kabisa Iran hapaswi kulipiza chochote, ye a deal na uzalendo wa wananchi wao.
 
Mi hii issue siilewi kidogo. Hivi kama Israel alishirikiana na wa Iran wasaliti wakatega bomu ndani ya jengo miezi miwili kabla ya Haniyeh kuingia mule inakuwaje leo Iran aishambulie Israel badala ya kudeal na raia wake walioamua kuisaliti nchi yao? Kwakweli kwa lile tukio la kwanza Israel kuushambulia ubalozi wa Iran niliona kabisa Iran ana haki ya kulipiza ila kwa hili la wa Iran baadhi kushirikiana na Israel kuihujumu nchi yao naona kabisa Iran hapaswi kulipiza chochote, ye a deal na uzalendo wa wananchi wao.
Porojo hizo hamna bomu lilotegwa ndani.
 
Sasa kwa nini wanatangaza [kama ni kweli wamesema hivyo]?

Yaani unamtangazia ‘adui’ wako kwamba kesho nitakushambulia 🤣.

Stupid is as stupid does.
Vita ya maneno hiyo haina vitendo. Lengo ni kuweka presha kwa raia wako waanze kukuchukia.
 
Back
Top Bottom