rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Nani kakwambia story za mtaani izoHapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.
Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..
Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.
Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Sio kwamba aliachiwa apige aharib ili wapate sabab zaid ya kumtandika,Kuna pro US walisema Iran hawezi ku retaliate lakini amefanya hivyo ndani ya muda mfupi tena huku vikosi vya Marekani kote duniani hususan Iraq vikiwa kwenye high alert.Iran sio wakumbeza ana nguvu kubwa kijeshi na kiteknolojia
Nyie shangilieni tu. Subirini mafuta ya gari yakosekane ndo mtakapoisoma number. Mjue middle east ndo energy ya dunia nzima upande wa Oil ?
Nyie shangilieni tu. Subirini mafuta ya gari yakosekane ndo mtakapoisoma number. Mjue middle east ndo energy ya dunia nzima upande wa Oil ?
Ahh wap,mrus na mrushia anaombea iran apigwe ili wale pa1 na mmarekan mafuta yale,hii ni chin ya kapet
Jana usiku baada ya shambulizi,ndege za marekani Kama sita zikanyanyuka toka UAE kuelekea Iran,
Iran wakatoa onyo kwa United Arab Emirates kuwa endapo hizo ndege zitapiga iran,wao wataupiga mji wa Dubai,baada ya mda sikusikia ndege za marekani kujibu mashambulizi,
Wakati huo Iran ndege zake zishaingia anga la Iraq ,ripoti ya mwisho kabla sijapitiw usingizi Iran wametungua ndege ya marekani karibu na bandar Abbas,Bado sijaconfirm
Kale vitumbua huko ujijambie usitusumbue sisi
Daah vita rasmi sasa, trump atazungumza na press asubuhi hii, nafikiri anatangaza vita, Mungu haepushe mbali hiliRetaliation ya namna hii lazima patachimbika vibaya, maana wote wamejawa na 'ego'..... Marekani hatokaa kimya baada ya shambulizi la moja kwa moja kutoka Iran hadi kwenye jeshi lake. Tunakwenda pabaya
NINGEKUA mshauri wa Wizara ya ulinzi na majeshi ya Iran ningewashauri wasihangaike na marekani sijui washington au Newyork, watumia technique hyohyo.... Yeyote anaekubali marekani aitumie ardhi yake kuishambulia Iran basi achakazwe mpaka akome..... Hivyo visima vya mafûta vya saudia vipigwe mabomu ya kutosha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Israel atahusika kwa namna yoyote ile, hamna haja ya kumuomba Mungu. Msimamo wake unaeleweka.
Sidhani kama zilirushwaMi Bado nafuatilia kucomfirm Kama F-35 ilipigwa Jana ikijaribu kuingia Iran baada ya shambulizi
Daah vita rasmi sasa, trump atazungumza na press asubuhi hii, nafikiri anatangaza vita, Mungu haepushe mbali hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakaangwa kama kumbi kumbi..hao hawana loloteTuliwaambia Hawa waajemi hawapendagi ujinga
Maandiko yametabiri Marekani itaangushwa na Irani,Kisha Irani itakua dola yenye nguvu duniani kwa muda Kisha itaangushwa na North Korea,tukiangalia maandiko Marekani Ni mwisho wake umekaribia.
Sent using Jamii Forums mobile app