Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Hapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.

Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..

Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.


Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Nani kakwambia story za mtaani izo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NINGEKUA mshauri wa Wizara ya ulinzi na majeshi ya Iran ningewashauri wasihangaike na marekani sijui washington au Newyork, watumia technique hyohyo. Yeyote anaekubali marekani aitumie ardhi yake kuishambulia Iran basi achakazwe mpaka akome. Hivyo visima vya mafûta vya saudia vipigwe mabomu ya kutosha! profesawaaganojipya,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna pro US walisema Iran hawezi ku retaliate lakini amefanya hivyo ndani ya muda mfupi tena huku vikosi vya Marekani kote duniani hususan Iraq vikiwa kwenye high alert.Iran sio wakumbeza ana nguvu kubwa kijeshi na kiteknolojia
Sio kwamba aliachiwa apige aharib ili wapate sabab zaid ya kumtandika,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama yule shabiki wa Simba alitoka Mbeya kwenda Dar kwa miguu kuangalia Mechi ya simba na UD Songo wewe utashindwa kutoka Buzaa mpaka Tandale tu hapo?? Kama mashabiki wa Yanga wametoka kwa baiskeli Mtwara mpaka Dar kuja kuangalia mechi ya simba na Yanga wewe utashindwa kutoka na baiskeli Mbezi mpaka Ubungo?? chq msingi chakula kwanza[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nyie shangilieni tu. Subirini mafuta ya gari yakosekane ndo mtakapoisoma number. Mjue middle east ndo energy ya dunia nzima upande wa Oil ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii huku TEMEKE tunasema KILICHOMPATA MAMBA NA KIBOKO KITAMPATA
Jana usiku baada ya shambulizi,ndege za marekani Kama sita zikanyanyuka toka UAE kuelekea Iran,
Iran wakatoa onyo kwa United Arab Emirates kuwa endapo hizo ndege zitapiga iran,wao wataupiga mji wa Dubai,baada ya mda sikusikia ndege za marekani kujibu mashambulizi,
Wakati huo Iran ndege zake zishaingia anga la Iraq ,ripoti ya mwisho kabla sijapitiw usingizi Iran wametungua ndege ya marekani karibu na bandar Abbas,Bado sijaconfirm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Retaliation ya namna hii lazima patachimbika vibaya, maana wote wamejawa na 'ego'..... Marekani hatokaa kimya baada ya shambulizi la moja kwa moja kutoka Iran hadi kwenye jeshi lake. Tunakwenda pabaya
Daah vita rasmi sasa, trump atazungumza na press asubuhi hii, nafikiri anatangaza vita, Mungu haepushe mbali hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yajayo yanafurahisha Quatar,Saudi Arabia,UAE wajiandae kisaikolojia.

Dubai itarudi kua jangwa kwa mabomu itakayopigwa.
NINGEKUA mshauri wa Wizara ya ulinzi na majeshi ya Iran ningewashauri wasihangaike na marekani sijui washington au Newyork, watumia technique hyohyo.... Yeyote anaekubali marekani aitumie ardhi yake kuishambulia Iran basi achakazwe mpaka akome..... Hivyo visima vya mafûta vya saudia vipigwe mabomu ya kutosha!

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Hana lakufanya anajua moto wa Iran.Halafu kwenye maneno yako unasema "Kama Israel atahusika kwa namna yoyote ile,hamna haha ya kumuomba Mungu" Kwa maana hiyo Israel ni mkubwa kuliko Mungu?
Kama Israel atahusika kwa namna yoyote ile, hamna haja ya kumuomba Mungu. Msimamo wake unaeleweka.
 
Beira Boy,
Mpak sasa graph inasoma Us 50 Iran 0 , Kwanza Kwa status ya Yule Mkuu wa majeshi aliyeuawa Iran inatakiwa iue mtu wa status hyo hyo toka marekan , ikishindikana aue Us soldiers 50K ndo thaman ya Yule Mkuu wa majeshi , cha kushangaza kashambulia Iraq tena kapiga offtarget, matokeo ya kukurupuka na mihemko na hii ni Kwa sababu watu wa Iran shule hamna ni weupe tuu kichwani
 
Back
Top Bottom