Kwani usa kamuua kamanda suleiman ndani ya tehran? Tumia akili japo kidogo basiYaani Mimi Iran nilipoona amepandisha bendera nyekundu nilijua shambulizi la Kwanza litakuaa newyork city palepale,kumbe kaenda kupiga waarabu wenzie.....atakayeweza mtetemesha muamerika ni Yule atakayeweza piga bomu ndani ya ardhi ya amerika Siyo huko pembeni pembeni! Kaka Vita awamu hii hamuwez pigania ardhi yao basi hesabuni maumivu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona patriot zimepenyeka kiurahisi mnooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Team USA tujuane mapema kabisa, tuone watu wanavyochakazwa
All options on table including sending beautiful gift to Ayatolah.
US Imevamia na Kuua IRAQIran must stop this nonsense.
Iran inafadhili magaidi wa Hezbollah
Iran inafadhili magaidi ndani ya Revolutionery Guard
Iran ina mawazo mgando ya kuifuta Israel - hii ni laana na hawatafanikiwa
Ayatollah aache kuwajaza Wairan matumaini hewa. Marekani watakapojibu watakaoumia ni hao wamama na vitoto vinavyoimba Death to America kwa kufata mkumbo.
No ! Ipo hivi nilikuuliza kuhusu source ya post yako kuhusu casualties ya shambulio hili.sasa badala ya kujibu kwa kunipa source na Mimi nikapitie utaniambia Trump anasemaje tweeter, sasa huoni unabadilisha maudhui ya mada!Nikiuliza mzee wa wigi anasemaje kule twitter hapo nakua nabishana na wewe kitu gani boss?
dodge
Yamesababisha madhara yakuijulisha DUNIA Yakwamba Mifumo Ya Ulinzi Ua US Ni Useless na Defence less [emoji23][emoji23][emoji16][emoji2]Hayo makombor yamesababisha mashara gani?
Vifo vingapi??
Uharibifu gani umetokea??
Marekani bhana! Akatulia kimya huku akichunguza chini chini ni nani hasa mwenye kiherehere na uwezo wa kutungua ndege yetu ya gharama namna hii? Wakajua kumbe ni Soleiman, mwisho wakala kichwa chake
Dubai wanaweza wakawa wanatania Ila ISRAEL AtajutaIran kasema US ikijifanya kujibu mapigo, yeye atapiga Haifa Israel, na Dubai,
Hili Zengwe si la kitoto, Mungu aliepushie mbali.
Marekani bhana! Akatulia kimya huku akichunguza chini chini ni nani hasa mwenye kiherehere na uwezo wa kutungua ndege yetu ya gharama namna hii? Wakajua kumbe ni Soleiman, mwisho wakala kichwa chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao aljazeera hata wachukue habari toka hapa kenya ila lazma wahakikishe habari inakua verified kabla yakuirusha hewani
Aljazeera chombo kikubwa kabisa chahabari DUNIANI Sio Kama Tv1
Sent using Jamii Forums mobile app
US = PAPER TIGERSputnik chombo chenu pendwa ndio kimeeleza mmerusha makombora zaidi ya 30 lkn Cha ajabu ni 15 tu ndo yaliyofanikiwa kuingia Iraq na Kati ya hayo pia mengi hayakufikia target
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili nyingiJana usiku baada ya shambulizi,ndege za marekani Kama sita zikanyanyuka toka UAE kuelekea Iran,
Iran wakatoa onyo kwa United Arab Emirates kuwa endapo hizo ndege zitapiga iran,wao wataupiga mji wa Dubai,baada ya mda sikusikia ndege za marekani kujibu mashambulizi,
Wakati huo Iran ndege zake zishaingia anga la Iraq ,ripoti ya mwisho kabla sijapitiw usingizi Iran wametungua ndege ya marekani karibu na bandar Abbas,Bado sijaconfirm
Ni kweli wameuawa zaidi ya 80 na tayari baadhi ya nchi zimeanza kuondoa wanajeshi wao nchini Iraq ila mmarekani bado kakomaa anasema haondoi mtu huko.