Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Mmeanza utapeli wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua ukiwa kiwanjani unacheki mechi mfano wa simba na Yanga; mtu akipigwa goli tu unashangaa upande wa pili kimyaaa... Jamaa wakirudisha tu goli shangwe upande wa pili.

Sasa juzi kapigwa mtu pipo zimeshangilia kinyama.
Leo tena jamaa karudisha goli upande wa pili kimyaa naona wanapanga kikosi namna ya kurudisha goli.

Kazi kwenu team Wairani weusi na team wamarekani weusi wote waishio mbagala na Sinza kwa bibi nyau.

Mimi ngoja nibeti


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameuliwa 80 kwa taarifa yako
 
Kwa hiyo vita ya vietnam wamarekani walikuwa wanaua tu wavietnam huku wavietnam wakiwa hawaui wamarekani.Unataka kusema wavieynam walikuwa wameka tu.Hata hao wafuasibwa kasim suleiman wao unataka kuniambia hawajamwaga damu za watu.Acha ushabiki mbuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa Iran hawako upande wa Iran kwenye huu mzozo?

Hujui unachoandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mkuu naomba uniambie huu ujasiri Iran kaupata wapi maana pamoja na Mimi kuwa upande wa Iran lakini sikutegemea kama Iran angeishambulia moja kwa moja marekani nilitegemea angewatumia mawakara wake.
Hata mim najiuliza huu ujasiri kautoa wapi ila nilicho na uhakika nacho ni kwamba Iran atapigwa vita rasmi, kashavuka ile red line aliyoweka Trump, amekua real threat kwa US, yajao sio hayafurahishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nafata shungi la 5.8

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Handcap ya Iran ina ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…