kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Mmeanza utapeli wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.
Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..
Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.
Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app