Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Trump dakika chache zijazo atalihutubia taifa la Marekani live.
 
This wat Iran did;-
:::::::::::::::::::::::

Ukraine Boeing737 victims:
- 82 Iranians,
- 11 Ukrainians,
- 63 Canadians,
- 10 Swedes,
- 4 Afghans, 4 Germans & 3 British nationals . Ukraine foreign minister confirms.
 

Attachments

  • 81889796_1062737164063559_379591674931707904_n.jpg
    14.1 KB · Views: 1
Huijui Afghanistan?
Huijui Pakistan?

Hujui zilivyopigwa kwa kisingizio cha kumficha Osama?

Usianze kujisifia tu dadangu


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kijana.

Hivi ni shule gani hiyo ilikufundisha kuwa Afghanistan na Pakistan ni nchi za Kiarabu?

Dah! Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.

Bado wewe unaedhani nchi hizi ni za Kiarabu una kauli ya kuniambia nisijisifu?

Kwa hayo, nnakila sababu za kujisifu kuwa hakika shule nilizosoma sikusomea ujinga.

Huo wako ni ujinga, kumbuka hilo.
 
Una undugu na Pdidy?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
‏‎رهبر انقلاب: گفتم آقاجان! بزنید می‌خورید/ ممکنه ضربه هم بزنند اما چند برابر ضربه میخورند

the time you hit and went away is over
you hit, you will be hit
Your browser is not able to display this video.
 
Sahau icho kitu mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Russia na China wana uwezo wowote wa kupambana na marekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jinsi wamarekani walivyo na kharisa kwa kulipuliwa kwa ile drone yao tegemea hao vinyampara wa Iran kuchezea kichapo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kw hiyo nini kitatokea kutokana na utabiri wako mtaalamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…