Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] hii itakuwa round 2Hiyo ilishatokea kitaaambo sana.
Vita vya Falkland.
England v/s Argentina
USA amesha omba pooJamani kwan vita lini?? Na channel gan wataonesha..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu Ni ndani ya teolojia yanapatikana hayo yote,uchambuzi yakinifu wa Biblia ulifanika vyema ungelipata BIBLIA ungelisoma Daniel & Ufunuo wa Yohana utapata mengi zaidi ya haya.
Bible mkuu mfano mwingine cryptocurrency ilishatabiriwa itakuja na tunaona ipo na inafanya kazi.
Hapa ndipo ugumu ulipo sasa! Mawigi anakuna wigi badala akune takoKati ya wanaume wa kiislam/kiarabu,waliobaki kwa sasa duniani ni irani pekeake, hata kupiga hayo makombora 15 ni ujasiri wa hali ya juu,ukiondoa russia,china,na north korea,,hakuna mwingine anaeweza kulipa kisasi,hata kurusha risasi moja kwenye himaya ya USA. Iran imewaonya majirani zake wote,ambao wamemkubalia usa kuweka ,,base,, zake,kuwa watakuwa target ya kwanza kushambuliwa.
SWALI: Je, mataifa ya kiarabu yako tayari,raia wake wafe,majengo marefu yaporomoshwe na makombora ya iran,amani ichafuke na uchume uyumbe,kwa ajili ya maslahi ya USA? ili hali huko usa raia wake wanastarehe hawana bugdha yeyote. Beira Boy,
Sent using Jamii Forums mobile app
Man power,Africa anataka twende naye front ? Ama kingereza kwangu shida?
Unaelezea copy!Wewe ni jamaa bwana. Hivi unadhani hayo unayosema Iran hawakuyajua? Unajua kiwa Irani anatengeneza drone zake mwenyewe, Unajua kuwa Irani inaunda ndege na makombora yake mwenyewe? It seems hujaelewa nguvu za Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona umekomaa na utabiri mara siku za mwisho. Haya mambo mnayapata wapi kwenye biblia.Bible mkuu mfano mwingine cryptocurrency ilishatabiriwa itakuja na tunaona ipo na inafanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Odds za Iran zinapanda kwa kasi mkuu..Najilipua na laki tano naweka GG najua lazima itoe odds 2.2
Bet lost...Trump kazingua[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utawala wa kwanza ulikuwa wa babeli enzi za Nebuchadnezzar... So isome daniel yote utaona kipindi hicho nabii Daniel alikua mateka muisrael akiwa utumwani babeli....kupitia hiyo alimtabiria Nebuchadnezzar mwisho wa ufalme wake wa babeli,kuja kwa ufalme wa waamedi na waajemi,kuja kwa wagiriki na kisha ufalme wa Roma....ukitoka hapo utapata mwanga ndo uje kusoma ufunuo,,,ameiendeleza kuanzia ufalme wa Roma utakapokufa na utakavyokuja kurudi,marekani..na new world order....in short pray holy spirit to guide you unapovisoma hivyo vitabu...Mkuu naona umekomaa na utabiri mara siku za mwisho. Haya mambo mnayapata wapi kwenye biblia.
Sent using Jamii Forums mobile app
80 American were killed in attacks involving 22 missiles attack
Ajabu ni kuwa Iran walianza kutumia drone kabla ya marekani,Sema waliita Unmanned areal vehicle