Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Bado sana tena sana hata vipindi vya great economic depression mpaka watu wanajinyonga kuna watu walisema hayo kipindi cha world war 1 na 2 kuna ambao walisema hayo dunia ipo na itaendelea kuwepo karne na ma karne milongo na milongo

Mwisho wa dunia ni kifo chako wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja.

Walokole wanajifanya ndo wanajimu wakuu wa duniA.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Kumbuka marekani pia kuna baadhi ya nchi za kiarabu ambazo yuko na urafik nazo kama Emirates, Iraq,misri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Askari 30 wakati hakuna hata mmoja aliyekufa makombora yote yametua pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Trump anasema bado wanafanya tathmini ya hasara wewe unasema mabomu yameanguka pembeni! Ebu tufafanulie, uko Pentagon command and control centre ama Kilimatinde?( jokes)
 
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa hili

Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu

Iran wewe ni mwanangu wa muda mrefu sana huwa nakutetea sana lakin siku hizi umekua muoga wa waoga sana aisee

Yaan kamanda mkuu wa jeshi kauwawa alafu wewe unaenda kulipiza kisas kitoto toto tu

Yaan upapiga off target katika kambi za America huko iraq sasa ndo nini sasa

Ua hata wanajeshi 50 bas

Siyo unaenda kulipa kisasi hujaua hata mmoja alafu unajisifu hapa

Umeniangusha sana mwanawane Iran


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Iran zamani ilikuwa ni mikwala tu,siku hizi teknolojia imekuwa,wameshamchunguza wamegundua kuwa hana kitu,wanasubiri tu alianzishe wamfumue...
 
Acha fix mkuu vyombo vyote vya habar duniani havijasema kama kuna vifo wewe unasema kuna vifo vya askar 30 duh....
Riport ambayo haijawa comfirmed,Askari 30 wa marekani wamefariki,ila Bado haijawa comfirmed maana marekani wanadai hakuna aliekufa,

Meanwhile baada ya shambulizi Hilo,leo asubuhi General qasseim ndo amezikwa rasmi kijijini kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashaur kuwa kama nchi haina uwezo wa kuipiga marekan direct pale newyork au Washington tokea nchin kwake , hyo nchi iachane na vita dhidi ya USA , Ila kama uwezo upo bas wazichape....
Na nchi hiyo ni Russia pekee anayeweza kufanya hivyo duniani, hao waarabu wataandika historia ya kitakachowapata kwa machozi na damu
 
Back
Top Bottom