Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,694
Islamic Fundamentalist!Kwahiyo unataka Iran aumarekani wakupe ripoti ya matokeo ya shambulio hilo wewe Kama nani hapo tandale kwa mfuga mbwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Islamic Fundamentalist!Kwahiyo unataka Iran aumarekani wakupe ripoti ya matokeo ya shambulio hilo wewe Kama nani hapo tandale kwa mfuga mbwa?
Naunga mkono hoja.Bado sana tena sana hata vipindi vya great economic depression mpaka watu wanajinyonga kuna watu walisema hayo kipindi cha world war 1 na 2 kuna ambao walisema hayo dunia ipo na itaendelea kuwepo karne na ma karne milongo na milongo
Mwisho wa dunia ni kifo chako wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ogopa mtu anayekupa za usoni kimya kimya!
umemuona eeeh ngoja tusubiri kukuche atoe tamkoHamna kitu pale,ataishia tu kuandika kule twitter we have powerful army bla bla bla lkn hana kubavu wa kuzipiga.
dodge
Trump anasema bado wanafanya tathmini ya hasara wewe unasema mabomu yameanguka pembeni! Ebu tufafanulie, uko Pentagon command and control centre ama Kilimatinde?( jokes)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Askari 30 wakati hakuna hata mmoja aliyekufa makombora yote yametua pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Iran zamani ilikuwa ni mikwala tu,siku hizi teknolojia imekuwa,wameshamchunguza wamegundua kuwa hana kitu,wanasubiri tu alianzishe wamfumue...Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa hili
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Iran wewe ni mwanangu wa muda mrefu sana huwa nakutetea sana lakin siku hizi umekua muoga wa waoga sana aisee
Yaan kamanda mkuu wa jeshi kauwawa alafu wewe unaenda kulipiza kisas kitoto toto tu
Yaan upapiga off target katika kambi za America huko iraq sasa ndo nini sasa
Ua hata wanajeshi 50 bas
Siyo unaenda kulipa kisasi hujaua hata mmoja alafu unajisifu hapa
Umeniangusha sana mwanawane Iran
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wanamuigopa sababu wanajua kuwa ana nguvuDaah kama ameweza kuishambulia Direct kambi za US no wonder Saudi Arabia,Israel,Syria,Iraq,Lebanon,Turkey wote wanamuogopa Iran,si wa mchezo mchezo yule jamaa.
dodge
Inasikitisha sana. Na hii inaleta shida kidogo, hata kama ni tukio la bahati mbaya, ukizingatia US yuko karibu na Ukraine.
Halafu Iran wametuma ujumbe hasa, yaani wameshambulia kambi iliyokaribu sana na wao na ile iliyo mbali na wao. Kwamba wanaweza kufika popote walipo US soldiers ndani ya Mashariki ya kati.Mzee wa kutweet" kaishia leo kuandia tu "All is well" baada ya Iran kushusha mvua ya moto . ...
View attachment 1315579View attachment 1315580
Sent using Jamii Forums mobile app
Riport ambayo haijawa comfirmed,Askari 30 wa marekani wamefariki,ila Bado haijawa comfirmed maana marekani wanadai hakuna aliekufa,
Meanwhile baada ya shambulizi Hilo,leo asubuhi General qasseim ndo amezikwa rasmi kijijini kwake.
Naunga mkono hoja.
Walokole wanajifanya ndo wanajimu wakuu wa duniA.
Sent using Jamii Forums mobile app
umemuona eeeh ngija tusubiri kukuche atoe tamko
Na nchi hiyo ni Russia pekee anayeweza kufanya hivyo duniani, hao waarabu wataandika historia ya kitakachowapata kwa machozi na damuNashaur kuwa kama nchi haina uwezo wa kuipiga marekan direct pale newyork au Washington tokea nchin kwake , hyo nchi iachane na vita dhidi ya USA , Ila kama uwezo upo bas wazichape....