fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Daah safi sana hio,kwa tukio la leo nime confirm pale middle east hakuna wa kumtisha Iran.
dodge
Mbona kuna taarifa kuwa iran wamepiga off~target..
Nasikia wamepiga makontena ya korosho huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah safi sana hio,kwa tukio la leo nime confirm pale middle east hakuna wa kumtisha Iran.
dodge
Mbona kuna taarifa kuwa iran wamepiga off~target..
Nasikia wamepiga makontena ya korosho huko.
SAFI ..NA HUU NDIO UKWELI...
Mimi sio mtalaamu sana wa Maandiko na Tabiri, Ila katika kujifunza ,
Inaonyesha tupo Juma LA Mwisho la kuishi kwa Mwanadamu.
Hesabu hazidanganyi.
Sina uhakika,maana usiku ndege za marekani zilinyanyuka kuelekea Iran,na Trump alikuwa ahutubie taifa lake usiku huohuo,ghafla Trump akaahirisha hotuba,
Nikasikia Kuna ndege ya marekani imetunguliwa karibu na bandar Abbas,
Mida ya saa Tisa za usiku,now sijui kuliendaje maana Trump mpaka Sasa Yuko kimya,wanadai no casualties Bado wanafanya assessment
Taarifa ambazo sio rasimi zinasema zaidi ya wanajeshi 35 wameuawa kwenye hilo shammbuliziMbona kuna taarifa kuwa iran wamepiga off~target..
Nasikia wamepiga makontena ya korosho huko.
Nasubir Iran amuue Mkuu wa majeshi wa marekan , au apige Washington Zaid ya hapo anafanya mchezo wa kitoto tuu,
Nasikia walio uawa ni kati ya 35 au 80 na majeruhi ni zaidi ya 200.
Riport ambayo haijawa comfirmed,Askari 30 wa marekani wamefariki,ila Bado haijawa comfirmed maana marekani wanadai hakuna aliekufa,
Meanwhile baada ya shambulizi Hilo,leo asubuhi General qasseim ndo amezikwa rasmi kijijini kwake.
Nimesoma huko aljazeeraTaarifa sizizo aminika inasema kua takribani wanajeshi 80 wameuawa helcopters himeharibiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo nile na kuweka nisimalize akiba[emoji3] na hili pia litapita kama yalivyopita mengine ila kurud kwake sio mlongo huu wala unafuata
Sent using Jamii Forums mobile app
Wekeni na hayo maandiko. Utakuja kuficha uso haya yakipita na hakuna kitu cha kurudi Yesu, nenda pole pole, ili angalau ujue na kurudi nyumaMaandiko yametabiri Marekani itaangushwa na Irani,Kisha Irani itakua dola yenye nguvu duniani kwa muda Kisha itaangushwa na North Korea,tukiangalia maandiko Marekani Ni mwisho wake umekaribia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekan huo upepo wanao, Ila Iran hawana ,
US haijafanya mashambulizi ndani ya Ardhi ya Iran, rekebisha taarifa zako, halafu pia punguza mihemko hakuna WW3 itakayotokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hatutengamani na nchi zozote ambazo zitakuwa kwenye vita tupo sisi kama sisi neutral hakuna umwagaji damu unless otherwise tuchague side
Sent using Jamii Forums mobile app