Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Iran Akifanya hivyo mi nitaifanya white house kua ghetto languNasubir Iran amuue Mkuu wa majeshi wa marekan , au apige Washington Zaid ya hapo anafanya mchezo wa kitoto tuu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iran Akifanya hivyo mi nitaifanya white house kua ghetto languNasubir Iran amuue Mkuu wa majeshi wa marekan , au apige Washington Zaid ya hapo anafanya mchezo wa kitoto tuu,
Mdogomdogo.Nasikia walio uawa ni kati ya 35 au 80 na majeruhi ni zaidi ya 200.
Leo waajemi wamekunyamazisha ulikua unatoa pumba Sana humu Leo umepoa kama parachichi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wabongo bhana..US waoga kinyama,no wonder jeshi lao limejaza mashoga aiseeee.
dodge
Kobazi[emoji28][emoji28] FaizaFoxy bibi naniii emu njoo bhana ime kuaje uyu bwana ame cheleweshwa kuzikwa. kulingana na ile dini ya wavaa kobazi ..au umaarufu tatzo
Sent using Jamii Forums mobile app
wabongo bhana..
anae andika haya yupo nyuma keypads, na anatumia jina fake ili kumkwepa jiwe na vijana wake wa green guards.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona drone za US ilipomwua Jenerali america waliclaim wenyewe wamehusika kwanini Iran isiseme wameua wangapi,poor technology hujui hata umeua wangapi ndo utakuja kupambana na US?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa , linapokuja suala la kumpiga muarabu wamarekani wanaungana sana na Trump ili kujenga Imani zaidi atapeleka kichapo kizito sana ambacho kila mmarekani atamuona shujaa.Ishu ya kumtoa madarakani tayari imeshasahaulika
Jr[emoji769]
wabongo bhana..
anae andika haya yupo nyuma keypads, na anatumia jina fake ili kumkwepa jiwe na vijana wake wa green guards.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tunapata habari kutoka marekani tu dunia nzima?Kwahiyo unataka Iran aumarekani wakupe ripoti ya matokeo ya shambulio hilo wewe Kama nani hapo tandale kwa mfuga mbwa?
Kuwa na heshima kidogo unapoongelea dini za wenzako. Kejeli hazisaidii kujenga.[emoji28][emoji28] FaizaFoxy bibi naniii emu njoo bhana ime kuaje uyu bwana ame cheleweshwa kuzikwa. kulingana na ile dini ya wavaa kobazi ..au umaarufu tatzo
Sent using Jamii Forums mobile app