Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Kwa hali ya tension ilivyo Mashariki ya Kati baada ya Marekani kumuua General wa Iran ambapo Iran imeapa kulipiza kisasi kwa hali yoyote!

Je Marekani hakuhakikisha kambi zake zina ulinzi wa kutosha au ndo mifumo mibovu ya ulinzi wa anga?
Naona kila dalili ya Marekani kuaibika. Anaweza kumpiga Iran ila atapata madhara makubwa asiyotegemea!
Na haitakuwa mara ya mwanzo kuaibika na si ajabu katika mambo ya kivita.Mwenyezi Mungu humpa nguvu aliyedhaifu kumpiga Mbabe ili kila mmoja aone.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Unahisi kama wangekanusha [emoji23][emoji23]

US Akijibu Leo Mwezi Hauishi Huu Tuta Anza Kutumia PetroYuan


Huyu Bwege US Hawez Kuwafanya Watu Wapuuzi Miaka Yote Hii SHUBAAMIT

Sent using Jamii Forums mobile app
US ni bwege au sio?
Computer unayotumia kaunda muiran ambaye ni mjanja?
Simu unayotumia kuwatukana kaunda muiran?
.
Shule huko umesoma kwa vitabu vya kiada na ziada kutoka Iran?
Marekani akiacha kuleta misaada Iran atakupa nini wewe?
.
JF hii unayotamba imeundwa kwa languages za Iran?
 
It's on, Iran gonna be lit up like the fourth of July.
Usitegemee chochote, US watakaa kimya. Iran wao wamefanya kama wajibu maana si unajua watu wao akili zao zilivyo, bila ka ushahidi wa kulipiza kisasi pangechimbika, ila kwa sasa ukijumlisha 1+56 death ndani ya Irani ==makombora 13 yasiyokuwa na madhara hapo wa iran wapo poa kabisa tena kabisa. Kwa US no casuality no kuishambulia tena Iran
 
Hawana Jipya Sababu IRAN Alikua Anasababu Zakupigwa Na Western Toka Mwaka 1979 Ila Jamaa wanaruka ruka

Kosa Kubwa walolifanya Wamagharibi Ni Kuchemka Kuiangusha Serikali Ya IRAN Wakati Wa Vita Na IRAQ

Kwasasa Hata Kama Vita Itatokea IRAN Atapigwa Hili Lipo Wazi Ila Maumivu Atakayoyapata US Atajuta

Pia US Asidhani Ataweza Kujenga Kambi IRAN Baada Ya Vita Kama Alivyofanya IRAQ Watachinjwa Kama KUKU


US =PAPEE TIGER.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwel hii vita ni ya Iran +wananchi Wa Iran tofauti ilivyokua Iraq, kwa hiyo marekani kuweza kuweka military base itakua ngum Sana ,kwan raia wa Iran wataendelea kua na chuki na marekani milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kukuambia wewe hakuna walio kufa fyi 80 wamekufa na 200 wameumia.
Yawezekana kweli wapo lakini kutokana na ego tukashindwa kujua.
Screenshot_20200108_151913.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushimen Marekani amendoa wananchi wake tu huko Iraq ila wanajeshi wake wapo kama kawaida na ndiyo kwanza wamewaongeza ili kujiandaa kivita, unafikiri Marekan ataweza kuliondoa jeshi lake Iraq? Ili amkabiri Iran akiwa nchi gan ikiwa Saudia ana maslah yake lukuki!

Marekani hakutarajia kama ngome zake zinaweza kufikiwa na makombora Iran, hvi unafikiri hakukuwa na mifumo yakujilinda makombola hapo? Yapo lakin ndo hvo mvua zimepita.

Marekani watutangazie tu wanajeshi wangapi wamekata kamba kama walivyo muua jenerali wa iran.
Naam

Naona wakisema kuna zero casualties ni kama marekani inaleta propaganda za kivita ili wasionekane si chochote kwenye equipment. Lakini najua lazima kuna wanajeshi wamepotea.
 
Sasa kama hakuna madhara yeyote wanafanya tahimini gani mpaka sasa hivi masaa yote hayo.

Na ndio kawaida ya marekani huwa akubali madhaifu yake hata kidogo.

Mpaka sasa hawajaruhusu vyombo vya habari kufika kwenye kambi zilizo shambuliwa sasa wanacho ficha ni nini kama hakuna madhara yeyote?

Iran ina watu wake ndani ya vyombo vya usalama vya Iraq kwa hiyo watakuwa wana ifahamisha kinacho endelea kwa hiyo wakisema kuna watu wamekufa si vyema kupuuza.
Mkuu kuwa rational.. Kambi hizo za marekani walikuwepo pia Wairaq,na nchi mbali mbali za NATO sasa kwa utashi wako iweje wote wasife wafe wamarekani tu.(yaani wasife Wairaki,Wacanada,Waingereza,Wajerumani nk)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUJITEGEMEE,
Hakuna madhara , Iran wamewah Sana kustrike back mda ambao kambi zote za marekan zpo under high alert , Bora hata wamtafute mtu mmoja mhimu wa Marekan wamuue kuliko kufanya ujinga wanaofanya ....
Iran wametoa ofa mwenye kupata kichwa cha Trump 🤣🤣
 
Lete credible source(neutral)!

Maana hata mashambulizi ya Marekani tunaona vyombo mbali mbali vya kimagharibi na mashariki vikiripoti casualties (like Soleiman killing and airstrike onPMU )
Naam

Naona wakisema kuna zero casualties ni kama marekani inaleta propaganda za kivita ili wasionekane si chochote kwenye equipment. Lakini najua lazima kuna wanajeshi wamepotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MORE UPDATES:

As of 11:00am (East African time)

Japan urges diplomacy after Iran missile attack

Japan urged a return to diplomacy and called on governments to do their utmost to help ease tensions following the Iranian missile attack at bases in Iraq used by US forces.

Japanese Chief Cabinet spokesman Yoshihide Suga said the government would "coordinate with the related governments to collect intelligence while we ensure the safety of Japanese citizens in the region."

“Japan will also urge all related nations to do their utmost diplomatic effort to improve the relations," he added.


Pakistan warns citizens to 'exercise maximum caution'

Pakistan's Ministry of Foreign Affairs advised Pakistan citizens planning to visit Iraq to "exercise maximum caution".

Those already in Iraq are advised to remain in close contact with Pakistan's embassy in Baghdad.


India issues travel warning on Iraq

India issued a travel warning asking its citizens to avoid "non-essential" travel to Iraq.

"In view of the prevailing situation in Iraq, Indian nationals are advised to avoid all non-essential travel to Iraq until further notification," India's foreign ministry said in a statement.

"Indian nationals residing in Iraq are advised to be alert and may avoid travel within Iraq," it said, adding that the Indian embassy in Baghdad and consulate in Erbil remain operational.


Emirates Airline cancels Baghdad flight

Dubai-based Emirates Airline cancelled a return flight to Baghdad.

"We are carefully monitoring the developments and are in close contact with the relevant government authorities with regards to our flight operations, and will make further operational changes if required," Emirates said in a statement.

Its sister carrier, FlyDubai, also cancelled a flight to Baghdad.

Oil surges, stocks fall after Iran attack

Oil prices surged after the Iran attack on US forces in Iraq, raising the prospect of a regional conflagration that could disrupt oil supplies. Stocks fell sharply.

Brent crude futures soared $1.83, or 2.7 percent, to $70.10 by about 01:48 GMT, after earlier rising to $71.75, the highest since mid-September 2019.

The price of gold also shot higher, rising 1.91 percent on the spot market to $1,603.93 per ounce ($30,161.88 per gramme) as investors rushed for safe-haven investments.

"We've moved on from how Iran will respond to now anticipating the US 52-pronged response as the US military forces in the region are in a heightened state of alert while likely preparing for war," said Stephen Innes, strategist at AxiTrader. "It's not going to be pretty today."


Iraqi oil facilities secure: OPEC

Iraqi oil facilities are secured and the country's production is continuing, OPEC's Secretary General Mohammed Barkindo.

"It's a big relief that the facilities continue to be secured in Iraq, the production is continuing and effective," Barkindo said on the sidelines of a conference in Abu Dhabi.

He said he was optimistic Iraq would reach 100 percent compliance with OPEC cuts in time, despite current tensions.

In a message to US President Donald Trump, Barkindo said the Organisation of the Petroleum Exporting Countries (OPEC) alone could not shoulder the responsibility of maintaining a stable oil market.
I hate the idiots-Trump and Britons for their support.
 
Hujui unachoomba. Kwa sasa sekta ya utalii inachangia kwa kiasi kikubwa mapato ya fedha za nje kuliko sekta yoyote; kumbuka ustawi wa sekta hii unategemea sana UWEPO WA AMANI DUNIANI sasa wewe unaposhabikia vita unafahamu madhara tutakayopata kama Taifa?
Ni taifa,sio mim,..effect kwangu ni approximately 0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom