Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Haisaidiii hata watambuliwe na Majini yao pamoja na Allah bado tu watapigwa sana. Yaani na kuloga na elimu ya kitabu mnaita bado aisee shule muhimu jamani.
 
Haisaidiii hata watambuliwe na Majini yao pamoja na Allah bado tu watapigwa sana. Yaani na kuloga na elimu ya kitabu mnaita bado aisee shule muhimu jamani.
Mkuu umehama mada rudi kwenye reli, kwani wewe una uelewa kiliko bunge la Spain au Norway? Tatizo lenu mnaongonzwa kwa mihemko sio akili.
 
Hayo ni maneno matupu kwa sababu Ni vigumu kutambua "Statehood" ya Wapalestina bila kuhusisha Israeli. Israeli ndiye anayeamua nani aingie palestina na nani asiingie. Msaada gani uingie Palestine na upi usiingie. Karibu kila kitu Gaza na Westbank kinakuwa controlled na Israeli 🤔
Hiyo ni hatua nzuri.
Kwa Palestina kutambuliwa kama taifa kutampa mwanya wa kudai haki zake zingine,we huoni italeta ukinzani kwa Israel?
Think far kijana.
 
Mkuu umehama mada rudi kwenye reli, kwani wewe una uelewa kiliko bunge la Spain au Norway? Tatizo lenu mnaongonzwa kwa mihemko sio akili.
Na wewe unahangaika kumjibu unaona kabisa mtu anaandika kama kalewa!?
Embu jibu wengine mkuu.
 
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Norway ndio nchi mpatanishi wa ule mkataba wa Oslo.

Hivyo Norway wachukua jukumu la kutambua kuwa Israeli imekiuka kila sehemu ya ule mkataba.

Norway ina kila haki ya kuchukua uamuzi ilochukua kwani imeona mkataba wa Oslo Accord umekiukwa.
 
Hayo ni maneno matupu kwa sababu Ni vigumu kutambua "Statehood" ya Wapalestina bila kuhusisha Israeli. Israeli ndiye anayeamua nani aingie palestina na nani asiingie. Msaada gani uingie Palestine na upi usiingie. Karibu kila kitu Gaza na Westbank kinakuwa controlled na Israeli 🤔
Wewe unataka watambue au unapinga?
 
Norway ndio nchi mpatanishi wa ule mkataba wa Oslo.

Hivyo Norway wachukua jukumu la kutambua kuwa Israeli imekiuka kila sehemu ya ule mkataba.
Pia yule mpatanishi badaye aliuawa na Israel kwenye mazingira tatanishi, hapa wanacho lenga ni two state solution ili amani ya dunia tention zipungue.
 
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
mwaka 1948 kila mtu alipew ardhi yake ila waarab wakalikataa taifa lao wao wenyewe wakidai wanataka wabakie pekee yao ndo waunde nchi , leo limewalamba wanarudi kwenye maamuz ya mwaka 1948
 
Pia yule mpatanishi badaye aliuawa na Israel kwenye mazingira tatanishi, hapa wanacho lenga ni two state solution ili amani ya dunia tention zipungue.
kwan nan alianza vuruga maamuz ya mwaka 1948 kama sio hao waarabu ?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mkuu umehama mada rudi kwenye reli, kwani wewe una uelewa kiliko bunge la Spain au Norway? Tatizo lenu mnaongonzwa kwa mihemko sio akili.
huo ni msimamo wa ulaya tangu mwaka 1948 waislam huwa akili zinawatoka sana , mmesahau kuwa wazungu waligawanya nchi kuwa mataifa mawili ila nyinyi waarab ndo mlikataa
 
Halafu kuna wajinga wanakwambia Norway ni taifa dogo halina athari yeyote kidiplomasia.
Norway ndo walochora zile Oslo Accords na ni rafiki mkubwa wa Israeli na urafiki wao ni wa muda mrefu.

Lakini Norway kama zilivyo nchi zingine ambazo si wanafiki wameona kinoendelea kule Gaza na wametambua kuwa ni mauaji.

Pili, Norway ndo wanofadhili shirika la UNRWA ambalo lasimamia huduma za wakimbizi pale Gaza hivyo si kwamba ni wageni na taarifa zote zinotokea kule Gaza.

Mwezi Februari Norway walisema katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kwamba ule ukanda wa Magharibi (West Bank) na mashariki ya Jeruslem maeneo ambayo ni wapalestina ndo walikubaliana na Israeli kuwa yatakuwa makazi yao, huko kuna mauaji yaendelea kwamba wale walowezi wamekuwa wakiwashambulia wapelestina na kuwaua, kuua mifugo yao na pia kuchoma nyumba zao za makazi na mashamba yao.

Hivyo uamuzi wa Norway ni sahihi kabisa kwa asilimia 101%
 
huo ni msimamo wa ulaya tangu mwaka 1948 waislam huwa akili zinawatoka sana , mmesahau kuwa wazungu waligawanya nchi kuwa mataifa mawili ila nyinyi waarab ndo mlikataa
Mkuu acha mambo ya kutugawa wa Tanzania kwa msingi wa Imani sie wote ni wa moja ..rejea kwenye mktaba wa Oslo Arafat aliupokea lakini Israel ndo kabadili gia angani na kusema haitambui nchi inao itwa palastine........
 
Back
Top Bottom