Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

kwan nan alianza vuruga maamuz ya mwaka 1948 kama sio hao waarabu ?
Doh!
Kama kawaida yako hujui historia.
Vurugu alianza Israel kwa kufanya Israel settlers expansion.
1947 kila mmoja alichorewa mipaka yake,kipindi Yasser Arafat anahangaika ili Palestina itambulike UNO 1948 Israel ilianza kuwafukuza watu East Jerusalem ambapo sasa hivi panaitwa Occupied East Jerusalem.
Na wakapachika jina zionism movement.
 
Mkuu acha mambo ya kutugawa wa Tanzania kwa msingi wa Imani sie wote ni wa moja ..rejea kwenye mktaba wa Oslo Arafat aliupokea lakini Israel ndo kabadili gia angani na kusema haitambui nchi inao itwa palastine........
Na Rabin akauliwa mwaka 1995.

Aliemuua alikuwa ni myahudi mwenye msimamo mkali alieitwa Yigar Amir ambae alikuwa hakubaliani na mikataba ya Oslo.

Yitzhak Rabin ndie mpaka sasa waziri mkuu pekee alieiongoza israeli ambae amezaliwa Israeli.

Benjamin Netanyahu hajazaliwa Israeli.

Mijadala kama hii ni lazima mtu kwanza utulie uchambue kisha umwage madini.
 
Mkuu acha mambo ya kutugawa wa Tanzania kwa msingi wa Imani sie wote ni wa moja ..rejea kwenye mktaba wa Oslo Arafat aliupokea lakini Israel ndo kabadili gia angani na kusema haitambui nchi inao itwa palastine........
Huyo historia hajui hata kidogo.
 
Mkuu acha mambo ya kutugawa wa Tanzania kwa msingi wa Imani sie wote ni wa moja ..rejea kwenye mktaba wa Oslo Arafat aliupokea lakini Israel ndo kabadili gia angani na kusema haitambui nchi inao itwa palastine........
Unajua kuna vitu ukivitafakari haviingii akilini.
Kipindi cha Palestine Mandate 1946 Jerusalem wayahudi walifanya jaribio ya kupindua serikali ya kikoloni ya Uingereza pale Palestina.
Jaribio likazimwa na wayahudi hawakufanyiwa ukatili wowote isipokua waloendesha mapinduzi tu.
1947 kipindi mipaka inagaiwa kuna wayahudi wengine walitoka pembe zingine za dunia wakapokelewa hawakufanyia vurugu zozote.
Kama mwaarabu alikua hamtaki Israel kwanini hakuanzisha vurugu toka 1947 pindi mipaka inachorwa!?
 
Usiingize raia wengi kwa ujinga wenu wa maarifa wa ninyi wachache.
Sema ninyi wagalatia ndio mnashabikia vita dhidi ya Palestina.
Ni vita dhidi ya ugaidi na sio wapalestina. Don’t get twisted
 
  • Thanks
Reactions: 511
Kauli yako hiyo nimeizoea.
Wewe na wenzako mna uelewa kuliko Norway,Spain na mataifa ya kizungu wanaoujua na waliohusika katika huu mgogoro toka 1947!?
Mimi namuunga mkono Netanyahu kwenye vita dhidi ya ugaidi.
Hayo mambo ya Norway, Spain hayanihusu.

Kumbuka Hamas waliua ndugu zetu watz wawili wasokua na hatia.
 
Mimi namuunga mkono Netanyahu kwenye vita dhidi ya ugaidi.
Hayo mambo ya Norway, Spain hayanihusu.

Kumbuka Hamas waliua ndugu zetu watz wawili wasokua na hatia.
Yani kama hizi ndio hoja zako aisee basi ni dhaifu sana mkuu.
Kwahiyo kisa kuuawa kwa WaTanzania wawili haki ya WaPalestina haina maana tena!?
Mbona France ilipoteza embassy officials wawili?
Ila nayo imetoa tamko kuwa two states solution ndio njia sahihi?
 
Israel hawajawahi kuwa wanyonge
Hii kinanchoendelea choote kwa hakika mwishoni Israel itapata every inch ambayo sasa inakaliwa na watesi wake kwa hiyo kwa macho ya wale wengine watafurahia sana kinanchoendelea wakizani hatimaye wanapata ardhi ambayo wamekuwa wakiililia pasipo kujua kumbe huu ndo mwanzo wa kuelekea mwisho wao. Ni wenye macho ya rohoni pekee ndo wanaona hiki nilichoandika hapa.

Ikumbukwe tu Israel kuteswa kususwa na mataifa mengine sio mara ya kwanza, mara kadhaa wamekuwa matesoni na bado walisurvive hivyo kinachoendelea sasa sio jambo jipya kwao. Ingawa watesi wao wanafurahia sana lakini ni furaha ya muda tu sio ya milele.
 
Kweliii penye ugumu wepesi pia upoo, magharibi (US, UK na Israel wenyewe)wametumia nguvu kubwa kutaka kuwafuta wapalestina kumbe ndo wanawaanika Dunia ipate kuwatambua madhila yao
Mdogo mdogo wanazidi kupata washirika wanaowatambua
 
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Wasubirie majibu. Yanakuja
 
  • Thanks
Reactions: 511
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Hatuna ngumu na muhimu hii
 
We sema tu ukweli kuwa wana elimu na uelewa wa kutosha, hawana mihemuko na chuki za kidini kama watanzania ambao kutwa kuchwa wanaside na Israel au Palestine si Kwa sababu ya objectivity ya jambo lilivyo ila tu Kwa sababu wao ni watu wa Imani fulani.
Nimeipenda hii
 
Back
Top Bottom