Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Ili palestina duniani itambulike kama nchi rasmi kwanza Marekani na Israel zifutike kwenye uso wa dunia kwa sababu hakuna namna Israel itakubali kuwepo kwa taifa la palestina na Marekani hakuna namna ataenda kinyume na rafiki zao Wayahudi, hizi ni mbio za sakafuni mwisho ni kuanguka tuu
 
Ili palestina duniani itambulike kama nchi rasmi kwanza Marekani na Israel zifutike kwenye uso wa dunia kwa sababu hakuna namna Israel itakubali kuwepo kwa taifa la palestina na Marekani hakuna namna ataenda kinyume na rafiki zao Wayahudi, hizi ni mbio za sakafuni mwisho ni kuanguka tuu
In either way, Palestine will be a recognized state whether US or Israel are present/ not present.
And by the way UN member's nations are tired of UNSC double standards.
 
Norway na Spain raia wao kwa 95% ni nchi za Ukristo ila raia wao ni elites wana uwezo wa kutenganisha masuala ya dini na siasa hawana mihemuko chuki, na ujinga kama raia wa Jamaica.
Hao wakristu wa Spain ilikuwaje wakaruhusu ipitishwe sheria ya kuruhusu binadamu kujamiiana na wanyama ?
Una uhakika hao jamaa ni wakristu kweli ?
 
In either way, Palestine will be a recognized state whether US or Israel are present/ not present.
And by the way UN member's nations are tired of UNSC double standards.
Uhalali wa palestina ni taifa au sio taifa uko mikononi mwa Marekani na Israel huo ndio ukweli
 
Tangia nione video ya mauji ya mtanzania Hamas nimetokea kuwachukia wapalestina & Muslim kwa ujumla
 
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Netanyahu ameiweka Vibaya sana Israel kimataifa.

Kiburi mpaka kwa mabwana zake 😃😃
 
Hata kama dunia nzima itakuwa kinyume na israel. Israel haitatereka, stili ina uwezo wa kuzinyuka nchi kiherere kuwa kinyume nazo. Si ajabu dunia kuwa kinyume nayo. Daima israel itasonga mbele
 
Hata kama dunia nzima itakuwa kinyume na israel. Israel haitatereka, stili ina uwezo wa kuzinyuka nchi kiherere kuwa kinyume nazo. Si ajabu dunia kuwa kinyume nayo. Daima israel itasonga mbele
UNa akili za kitoto aise
 
unajua kuwa kuna nyakati dunia itakuwa kinyume na israel? Kasome vitabu vya kinabii kuhusu taifa hilo
GRow up bwana , hao waisrael wenyewe hawaamini hiko kitabu chako
Na waisrael wengi hawaungi mkono huu upuuzi wa netanyahu, zaidi ya senior officers watano wa ikulu ya marekani wamejiuzulu akiwemo muisrael ambae aliwapigania biden na harris kisa kupinga udhalimu unaofanywa na netanyahu kwa support ya marekani, na huyu mama jew analitwa lily katika barua yake kasema hapendi netanyahu na biden wanavyotumia jina la jews kwa faida zao binafsi na kuwachafua jews duniani kuonekana wauaji, na yeye alikuja marekani baada ya kukimbia kunyanyaswa huko ulaya hatovumilia kuona binaadamu yoyote akinyanyaswa
Huyu ndio mwenye akili timamu na wengi tu ikiwemo wanafunzi wa vyuo mbali mbali na tumeanza kuona anguko la israel
 
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Hii ni zawadi chungu kwa Nitanyahu. Nchi 143 (ikiwemo Tanzania) zilishaitambua nchi ya Palestina huko awali kati ya nchi 193. Sasa hivi ni nchi 3 zaidi. Hivyo nchi 146 zimeshakamilisha kazi yake, bado nchi 47 tu. Kazi ya kuzisaka hizo nchi iendelee mpaka tubakize Marekani na uingereza.
Ya ICC wala ziyazungumzii. Ana wakati mgumu kizee hiki, Benja.
 
k



unafiki hauez kukusaidia , msimamo wa wazungu wote ni mataifa mawili ila msimamo wa waarabu umekuwa ni taifa moja bila wayaudi ndani au jiran , na hii ndo chanzo cha vita
Umerejelea historia toka 1947!?
Uliuliza kule nani alianza vurugu tukakujibu.
Mkuu mbona una kichwa kigumu!?
Kama waarabu wangekua hawawataki wazayuni kwanini 1947 waliwapokea wazayuni wa nje na kukubali ardhi igawike!?
Unaweza ukanielezea hili!?
 
Hata kama dunia nzima itakuwa kinyume na israel. Israel haitatereka, stili ina uwezo wa kuzinyuka nchi kiherere kuwa kinyume nazo. Si ajabu dunia kuwa kinyume nayo. Daima israel itasonga mbele
Mkuu unaongea nadharia ila sio uhalisia.
Kiuhalisia sasa hivi Israel inapitia wakati mgumu.
-Kwanza haina amani toshelezi kiasi raia baadhi ya kanda wamehama,mfano kanda ya kaskazini mwa Israel panapopakana na Lebanon,raia wamehama kiusalama kukwepa makombora ya wanamgambo wa hizbollah.Pia Israel ni nchi ambayo air sirens haipiti mwezi bila kulia.Hii hali raia wameichoka ndio maana waliandamana/wanaandamana.
-Vurugu alizoleta Netanyahu zimeiporomosha Israel kidiplomasia,kuna mataifa yashaanza kuitenga Israel mathalan Brazil na Spain.
-Vurugu za Netanyahu zimeamsha anti-semitism DUNIANI KOTE,wayahudi wanaonekana watu wa hovyo anti-semitism imeshika kasi.
Israel inateseka sasa hivi mkuu,fuatilia hata katika vyombo vya habari
Usiongee kinadharia mambo ambayo ni nje ya uhalisia.
 
Mkuu unaongea nadharia ila sio uhalisia.
Kiuhalisia sasa hivi Israel inapitia wakati mgumu.
-Kwanza haina amani toshelezi kiasi raia baadhi ya kanda wamehama,mfano kanda ya kaskazini mwa Israel panapopakana na Lebanon,raia wamehama kiusalama kukwepa makombora ya wanamgambo wa hizbollah.Pia Israel ni nchi ambayo air sirens haipiti mwezi bila kulia.Hii hali raia wameichoka ndio maana waliandamana/wanaandamana.
-Vurugu alizoleta Netanyahu zimeiporomosha Israel kidiplomasia,kuna mataifa yashaanza kuitenga Israel mathalan Brazil na Spain.
-Vurugu za Netanyahu zimeamsha anti-semitism DUNIANI KOTE,wayahudi wanaonekana watu wa hovyo anti-semitism imeshika kasi.
Israel inateseka sasa hivi mkuu,fuatilia hata katika vyombo vya habari
Usiongee kinadharia mambo ambayo ni nje ya uhalisia.
si ajabu israel kutengwa na dunia na inajua hilo litatokea
 
Mkuu unaongea nadharia ila sio uhalisia.
Kiuhalisia sasa hivi Israel inapitia wakati mgumu.
-Kwanza haina amani toshelezi kiasi raia baadhi ya kanda wamehama,mfano kanda ya kaskazini mwa Israel panapopakana na Lebanon,raia wamehama kiusalama kukwepa makombora ya wanamgambo wa hizbollah.Pia Israel ni nchi ambayo air sirens haipiti mwezi bila kulia.Hii hali raia wameichoka ndio maana waliandamana/wanaandamana.
-Vurugu alizoleta Netanyahu zimeiporomosha Israel kidiplomasia,kuna mataifa yashaanza kuitenga Israel mathalan Brazil na Spain.
-Vurugu za Netanyahu zimeamsha anti-semitism DUNIANI KOTE,wayahudi wanaonekana watu wa hovyo anti-semitism imeshika kasi.
Israel inateseka sasa hivi mkuu,fuatilia hata katika vyombo vya habari
Usiongee kinadharia mambo ambayo ni nje ya uhalisia.
 
Palestine itakuwa nchi kamili... Na hapo ndio mwanzo wa vita kubwa ya kikanda
 
GRow up bwana , hao waisrael wenyewe hawaamini hiko kitabu chako
Na waisrael wengi hawaungi mkono huu upuuzi wa netanyahu, zaidi ya senior officers watano wa ikulu ya marekani wamejiuzulu akiwemo muisrael ambae aliwapigania biden na harris kisa kupinga udhalimu unaofanywa na netanyahu kwa support ya marekani, na huyu mama jew analitwa lily katika barua yake kasema hapendi netanyahu na biden wanavyotumia jina la jews kwa faida zao binafsi na kuwachafua jews duniani kuonekana wauaji, na yeye alikuja marekani baada ya kukimbia kunyanyaswa huko ulaya hatovumilia kuona binaadamu yoyote akinyanyaswa
Huyu ndio mwenye akili timamu na wengi tu ikiwemo wanafunzi wa vyuo mbali mbali na tumeanza kuona anguko la israel
regardless hawaamini kitabu hicho, unabii unatimia tu
 
Haya france ,belgium na norway wamesema wapo tayari kumkamata muhalifu atapokuwa kwenye anga zao
Kwa mara ya kwanza france amewakataa wamagharibi wenzake
MUda ni mwalimu mzuri sana yote haya hakuna mtu angetegemea yatatokea na bado tutashuhudia mengi as time goes on mwisho waivunje tu hiyo icc na icj dunia imechoka kugeuzwa wajinga na mataifa machache
Netanyahu ni gunia la mavi habebeki
Marekani na UK wapo pamoja na Israel hakuna shida
 
Back
Top Bottom