Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

kwa hiyo mipaka yake ni ipi hiyo palestina, au from the river to the sea? kwasababu eneo kubwa la pale wamejaa wayahudi. hata westbank ni Mkoa wa Israel wao huwa wanaida JUDEO SAMARIA, na kuna wayahudi zaidi ya 600,000 wana makazi kule na wanaendelea kujenga. mipaka ya Palestina ipo wapi? au hawa spain na wengine wanatafuta tu kujifurahisha. na huwezi kuingia Judeo samaria au hata Gaza bila kuomba visa Israel. hata wafanyakazi wa UN gaza wanaomba visa Israel.
 
Yani kama hizi ndio hoja zako aisee basi ni dhaifu sana mkuu.
Kwahiyo kisa kuuawa kwa WaTanzania wawili haki ya WaPalestina haina maana tena!?
Mbona France ilipoteza embassy officials wawili?
Ila nayo imetoa tamko kuwa two states solution ndio njia sahihi?
Magaidi hawana haki. Washughulikiwe bila huruma
 
Na Rabin akauliwa mwaka 1995.

Aliemuua alikuwa ni myahudi mwenye msimamo mkali alieitwa Yigar Amir ambae alikuwa hakubaliani na mikataba ya Oslo.

Yitzhak Rabin ndie mpaka sasa waziri mkuu pekee alieiongoza israeli ambae amezaliwa Israeli.

Benjamin Netanyahu hajazaliwa Israeli.

Mijadala kama hii ni lazima mtu kwanza utulie uchambue kisha umwage madini.
Lakini kaka yake Netanyahu alifia Uganda!! Shida ni kuzaliwa Israel au kuwa na utaifa wa Israel??!
 
Hizo nchi Zina shida unapoitbua Palestina kama nchi mipaka ya nchi ya Palestina inaanzia wapi Hadi wapi?

Nafikiri walichokitambua ni bendera ya Palestina
Nchi ya Palestina haipo unatambua Nini?
 
Hao waarabu wa Palestine waletwe Africa ..mbona kubwa tu wapewe eneo waishi wazaane kama vipanya pale Israel wataendelea kuwamaliza taratibu maana lile ni eneo lao wamepewa na Mungu
 
Hizo nchi Zina shida unapoitbua Palestina kama nchi mopaka ya nchi ya Palestina inaanzia wapi Hadi wapi?

Nafikiri walichokitambua ni bendera ya Palestina
Nchi ya Palestina haipo unatambua Nini?
Kwani hujui kuwa ramani ilichorwa 1947!?
Basi sawa tusirejee mipaka ya 1947 turejee mipaka ya sasa hivi.
Occupied West bank na Ramallah yake na Jenin Yake na Occupied East jerusalem iwe taifa la Palestina.
Na mipaka yake inaonekana pia.
Pia Gaza iwe sehemu ya Palestina.
 
Hao waarabu wa Palestine waletwe Africa ..mbona kubwa tu wapewe eneo waishi wazaane kama vipanya pale Israel wataendelea kuwamaliza taratibu maana lile ni eneo lao wamepewa na Mungu
Lete ushahidi kuwa wamepewa na Mungu!?
 
Hata kama dunia nzima itakuwa kinyume na israel. Israel haitatereka, stili ina uwezo wa kuzinyuka nchi kiherere kuwa kinyume nazo. Si ajabu dunia kuwa kinyume nayo. Daima israel itasonga mbele
Sawa muyahudi wa chamwino😀😀😀😂
 
Lete ushahidi kuwa wamepewa na Mungu!?
Ushahidi upo wazuri mkuu baba Yao Ibrahim alipewa eneo lile kitambo tu kasome maandiko na hata kitabu chao kitakafu Hawa Kobaaz kimeoneaha kabisa. Huku Africa kuna mapori ya kutosha ardhi kubwa waletwe tu wakae huku wazaane wawe wengi Tena😂😂😂
 
Ushahidi upo wazuri mkuu baba Yao Ibrahim alipewa eneo lile kitambo tu kasome maandiko na hata kitabu chao kitakafu Hawa Kobaaz kimeoneaha kabisa. Huku Africa kuna mapori ya kutosha ardhi kubwa waletwe tu wakae huku wazaane wawe wengi Tena😂😂😂
Mie muislam,Uislam unaeleza wana wa Israel banuu israyil na walikaa ukanda wa bahari ya Sham na Jerusalem.
Je Palestina yote na Israel ni Jerusalem?
Na walienda wapi kabla ya 1947!?
Maana ukitizama hii dunia takriban 70% imekua misplaced.
Uturuki pale panapoitwa Uturuki kiasili nusu ya ardhi ni ya Ugiriki na nusu ya ardhi ni Iran.
Australia ya weusi sio ya weupe.
Egypt ni ya wanubi/sudan kusini+kaskazini sio ya waarabu.
Kwahiyo tuseme kuwa kila mmoja apambanie ardhi yake ya asili!??
Maana ardhi zote katunuku Mungu hakutunuku shetani.
Binadamu wote wana haki sawa na wanaisraeli,je na wengine waanze kupigania ardhi zao asilia!?
 
Hao waarabu wa Palestine waletwe Africa ..mbona kubwa tu wapewe eneo waishi wazaane kama vipanya pale Israel wataendelea kuwamaliza taratibu maana lile ni eneo lao wamepewa na Mungu
wapelekwe congo mashariki kwa walendu na wahema wataivana huko
 
kwa hiyo mipaka yake ni ipi hiyo palestina, au from the river to the sea? kwasababu eneo kubwa la pale wamejaa wayahudi. hata westbank ni Mkoa wa Israel wao huwa wanaida JUDEO SAMARIA, na kuna wayahudi zaidi ya 600,000 wana makazi kule na wanaendelea kujenga. mipaka ya Palestina ipo wapi? au hawa spain na wengine wanatafuta tu kujifurahisha. na huwezi kuingia Judeo samaria au hata Gaza bila kuomba visa Israel. hata wafanyakazi wa UN gaza wanaomba visa Israel.
Babu yenu kibaka kachanganyikiwa tangu jana kusikia habari hizi wanabweka tu kila saa yupo kwenye tv haamini anachokiona na bado huu ni mwanzo tu wa anguko lake
 

Attachments

  • Screenshot_20240523-132314_Instagram.jpg
    Screenshot_20240523-132314_Instagram.jpg
    393.1 KB · Views: 3
Usiingize raia wengi kwa ujinga wenu wa maarifa wa ninyi wachache.
Sema ninyi wagalatia ndio mnashabikia vita dhidi ya Palestina.
Wagalatia wengi sana HAWAPENDI kinachoendelea Gaza. Wapo wachache punguani wasio na uelewa ndiyo wanaoshabikia huo unyama unaofanyika huko. Niweke wazi mimi binafsi ni Mgalatia na ninapinga wanachofanya Israel.
 
Usipotambuliwa na US, UK, Canada wewe basi tena.

Tatizo la waparestina ni kutumia JIHAD (HAMAS) kudai wanayosema ardhi yao huku wakisahau kwamba ile state ilikuwa ya wayahudi kipindi cha utawala wa Mfalme Daudi.

Kwa kweli kikichowakuta ni kibaya mno, kufariki watu zaidi ya 35,000 na bado wanakufa ni historia mpya ya ukimwengu.

Play with Islael - ur gone.
 
Back
Top Bottom