Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Wanaaema Amani ya kudumu mashariki ya kati, Inahitaji kwanza uwepo wa taifa la Palestine
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili kuelekea kwenye Amani Mashariki ya kat

Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Kutambuliwa kwa taifa la Palestine ni hatua nzuri kuelekea kupata amani mashariki ya kati
 
ukiona mtu anapigwa sana vita na watu wengi ujue anakitu special ambacho wengine hawana,n
 
Israel hawajawahi kuwa wanyonge
Haya france ,belgium na norway wamesema wapo tayari kumkamata muhalifu atapokuwa kwenye anga zao
Kwa mara ya kwanza france amewakataa wamagharibi wenzake
MUda ni mwalimu mzuri sana yote haya hakuna mtu angetegemea yatatokea na bado tutashuhudia mengi as time goes on mwisho waivunje tu hiyo icc na icj dunia imechoka kugeuzwa wajinga na mataifa machache
Netanyahu ni gunia la mavi habebeki
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-165844_Chrome.jpg
    Screenshot_20240522-165844_Chrome.jpg
    361.8 KB · Views: 2
Hiyo ni hatua nzuri.
Kwa Palestina kutambuliwa kama taifa kutampa mwanya wa kudai haki zake zingine,we huoni italeta ukinzani kwa Israel?
Think far kijana.
“There’s actually no action that on its own will solve the crisis of the Middle East,” said Espen Barth Eide. “It’s a puzzle with many pieces. One piece is to establish a Palestinian state, another one is normalisation with the Arab states. A third one is peace guarantees for Israel, demobilisation of the Hamas, strengthening the Palestine Authority.”

“But this is one piece of the puzzle and it’s one piece that we hold and we are ready to play that card or lay that piece now as a contribution to a role to settlement,” he said.
 
k
Halafu kuna wajinga wanakwambia Norway ni taifa dogo halina athari yeyote kidiplomasia.yaan

Politics haiendi hivo
unafiki hauez kukusaidia , msimamo wa wazungu wote ni mataifa mawili ila msimamo wa waarabu umekuwa ni taifa moja bila wayaudi ndani au jiran , na hii ndo chanzo cha vita
 
Mkuu acha mambo ya kutugawa wa Tanzania kwa msingi wa Imani sie wote ni wa moja ..rejea kwenye mktaba wa Oslo Arafat aliupokea lakini Israel ndo kabadili gia angani na kusema haitambui nchi inao itwa palastine........
nazungumzia 1948 wewe unaleta utoto wa juzi , unafiki hauez tatua lolote , waarabu ndo waasisi wa huu mgogoro , sio Middle east bali kote duniani hadi ulaya , ubinafsi ndo tatizo kwa waarabu

Waarabu wanaish vizut ndani ya Israel ila wayaudi na jamii zingine haziez ishi ndan ya maeneo yenye waarab wapalestina wengi

hapo kama hujaelewa sina la kukuelewesha zaid
 
msimamo wa wazungu umekuwa ni mataifa mawili ila waarab ndo wamekuwa kikwazo nq yanayotokea leo ni matokeo ya ujinga wa waarabu
Norway ndo walochora zile Oslo Accords na ni rafiki mkubwa wa Israeli na urafiki wao ni wa muda mrefu.

Lakini Norway kama zilivyo nchi zingine ambazo si wanafiki wameona kinoendelea kule Gaza na wametambua kuwa ni mauaji.

Pili, Norway ndo wanofadhili shirika la UNRWA ambalo lasimamia huduma za wakimbizi pale Gaza hivyo si kwamba ni wageni na taarifa zote zinotokea kule Gaza.

Mwezi Februari Norway walisema katika mahakama ya kimataifa ya ICJ kwamba ule ukanda wa Magharibi (West Bank) na mashariki ya Jeruslem maeneo ambayo ni wapalestina ndo walikubaliana na Israeli kuwa yatakuwa makazi yao, huko kuna mauaji yaendelea kwamba wale walowezi wamekuwa wakiwashambulia wapelestina na kuwaua, kuua mifugo yao na pia kuchoma nyumba zao za makazi na mashamba yao.

Hivyo uamuzi wa Norway ni sahihi kabisa kwa asilimia 101%
 
k



unafiki hauez kukusaidia , msimamo wa wazungu wote ni mataifa mawili ila msimamo wa waarabu umekuwa ni taifa moja bila wayaudi ndani au jiran , na hii ndo chanzo cha vita
Hapana ur very wrong netanyahu msimamo wake ni taifa moja la israel ila wazunguna waarabu wamemwambia hiyo kitu asahau haitowezekana ,
Hata waziri wake wa ulinzi gallant alimpinga waziwazi na kumwambia akiwafuatisha right wing israel itaangamia
 
k



unafiki hauez kukusaidia , msimamo wa wazungu wote ni mataifa mawili ila msimamo wa waarabu umekuwa ni taifa moja bila wayaudi ndani au jiran , na hii ndo chanzo cha vita
Poa mkuu
 
Norway na Spain ni mihemuko tu imewajaa. Kama vipi wakimbizi wa kipalestina wapelekwe kwenye nchi zao. Kuwepo kwa wapestina wenye itikadi kali kama Hamas na Islamic jihad, Gaza, ni tishio kwa Waisraeli lakini uwepo wa wayahudi Israeli si tishio kwa wapalestina. Israeli inachofanya ni kujilinda tu kama ilivyo kwa nchi yeyote pale inapovamiwa 🤔
 
Norway na Spain ni mihemuko tu imewajaa. Kama vipi wakimbizi wa kipalestina wapelekwe kwenye nchi zao. Kuwepo kwa wapestina wenye itikadi kali kama Hamas na Islamic jihad, Gaza, ni tishio kwa Waisraeli lakini uwepo wa wayahudi Israeli si tishio kwa wapalestina. Israeli inachofanya ni kujilinda tu kama ilivyo kwa nchi yeyote pale inapovamiwa 🤔
Vijana wengi humu mmeanza kufuatilia international news baada ya october 7
Unajua kwamba marekani ,australia na mataifa mengine ya ulaya yametishia kuwawekea vikwazo baadhi ya waisrael kwa unyanyasaji na mauaji dhidi ya wapalestina?
Unajua wapalestina wangapi wapo jela za israel kinyume cha sheria na wananyanyaswa na kuuliwa kama kuku
FAnyeni muelimike
 
Norway na Spain ni mihemuko tu imewajaa. Kama vipi wakimbizi wa kipalestina wapelekwe kwenye nchi zao. Kuwepo kwa wapestina wenye itikadi kali kama Hamas na Islamic jihad, Gaza, ni tishio kwa Waisraeli lakini uwepo wa wayahudi Israeli si tishio kwa wapalestina. Israeli inachofanya ni kujilinda tu kama ilivyo kwa nchi yeyote pale inapovamiwa 🤔
Israel ni wakimbizi, huelewi nini!
 
mwaka 1948 kila mtu alipew ardhi yake ila waarab wakalikataa taifa lao wao wenyewe wakidai wanataka wabakie pekee yao ndo waunde nchi , leo limewalamba wanarudi kwenye maamuz ya mwaka 1948
Ww ulikuwepo au unalishwa propaganda za wa magharibo .hivi unafaham Mandela alishawahi kuitwa gaid
 
Back
Top Bottom