Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Duuu basi hatareeeeEwaaaaaaa na mwarabu ndio huyooo na mpaka irene alikuwa na beef na mwarabu amwache kishimo anaanzaje kumuacha mjini pana mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu basi hatareeeeEwaaaaaaa na mwarabu ndio huyooo na mpaka irene alikuwa na beef na mwarabu amwache kishimo anaanzaje kumuacha mjini pana mambo
Sasa apewe talakaaa na nani..!?? Picha za irne na dogo janja au!!?
Kishimo ndo nani?hizi code veepe[emoji23]Ewaaaaaaa na mwarabu ndio huyooo na mpaka irene alikuwa na beef na mwarabu amwache kishimo anaanzaje kumuacha mjini pana mambo
Ewaaaaaaa na mwarabu ndio huyooo na mpaka irene alikuwa na beef na mwarabu amwache kishimo anaanzaje kumuacha mjini pana mambo
Kishimo ndo nani?hizi code veepe[emoji23]
I salute you Shunie [emoji119][emoji119][emoji119]Ewaaaaaaa na mwarabu ndio huyooo na mpaka irene alikuwa na beef na mwarabu amwache kishimo anaanzaje kumuacha mjini pana mambo
Katauti ilishapigwa shoti siku nyingi.Wait a minute; huyu si mke wa mchezaji wa Burundi sijui Rwanda [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asante mkuuKatauti ilishapigwa shoti siku nyingi.
So ni kweli ama wanaigiza?Hawa mod siwaelewi aisee yaan nyuz zangu wanakuwa wanazifuta bila sababu
Mimi nilitoa ule uz nikiwa na ushaid wa bongo planet ya eatv huyu kaweka huu uz hana hata ushahid na wameuacha
historia inatuonyesha kuwa na hata ndkum na Hb wanasema wanawowajua kuwa wana siraha za mangamizi na ndio anachokitaka zaidi kwahiyo dogo inawezekana si haba atakuwa ana zaidi ya pesaHao ndio anaweza kuwapata bado hawajielewi, wenye akili zetu hata wake tulionao tunatamani kuwaacha kila mtu aishi kwa amani tusipunguziane miaka ya kuishi.
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]I salute you Shunie [emoji119][emoji119][emoji119]
Pesa mama ukitaka mjini huonekane boss lady ndio inabidi mshee mpaka na makaka dada anataka kwenda ibiza na yeyeAiseee kisa pesa bidada anavumilia kuchanganywa na kishimo. Kweli Pesa sabuni ya roho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umbea kwa codeKishimo ndo nani?hizi code veepe[emoji23]
Hivi mnajua siamini,,dogo janja ana miaka mingapi si kavulana kabisa hakp rika la young d