Madam we single mother?Mmmhhh labda nna roho mbaya mwenzeni mzazi mwenzangu akifa nalia na kuzimia kwa lipi? Nikiwiwa ntaenda mazishi siku ya kuzika tu na endapo mtoto ni mdogo hawezi kwenda mwenyewe.
Otherwise mi sio mfiwa kabisa ni msiba tu wa kawaida na machozi yanaweza shuka bahati mbaya kama nnavyozika majirani.
Au anaelia huku amelikumbatia jeneza ikiwezekana kudumbukia kabisa kaburini na kuomba afukiwe pamoja na marehemuSana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele
Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"
Gelofrendi tuwacheeeeeKibongo bongo hadi ulie kama mnyakyusa upige mayowe, ugale gale chini, uzimie ndo hapo ndo umeguswa....
Mnyaki bila mayowe hajalia bado ha ha ha
Binamu tuwache wanyaki tafwadhali. Utasikia tu "ejoooooooooooooooooo"Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele
Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"
Kabisaa yaani umepatiaa
Tukipeleka misiba kijijini basi utaskia wanasema twenden tukaangalie vilio
Yaani wao vile kupiga mikelele kwao ndo umeguswa.Mtu anajipigiza ht chozi halitoki[emoji1] [emoji1]
Ha ha ha gelofriend, kuna clip moja ya wakuvwanga (mama imma) na masanja, yani mama kumpokea tu mwanae from safari kafurahi hadi kalala chini ha ha ha wanyaki banaGelofrendi tuwacheeeee
Haha yani sisi ukisafiri hata wiki ukirudi ni mvua ya machozi. Ushawahi kutuona stendi tukiwa tumemsindikiza mtu?, basi likianza kuondoka ndo tunalikimbiza kutoa maagizo na salamu. Shikamoo wanyakiHa ha ha gelofriend, kuna clip moja ya wakuvwanga (mama imma) na masanja, yani mama kumpokea tu mwanae from safari kafurahi hadi kalala chini ha ha ha wanyaki bana
ha ha ha Nyani Ngabu atakuja kuwaona mlivo hawajui.Haha yani sisi ukisafiri hata wiki ukirudi ni mvua ya machozi. Ushawahi kutuona stendi tukiwa tumemsindikiza mtu?, basi likianza kuondoka ndo tunalikimbiza kutoa maagizo na salamu. Shikamoo wanyaki
Mwambie akaribie sana, soon tutapelekwa makumbusho ya taifa.ha ha ha Nyani Ngabu atakuja kuwaona mlivo hawajui.
Ni pole ya nini unayompa Irene? tuache kufuru kwa Mungu.Pole sanaa irene
Watanzania unafki Ndio Jadi YETU. Sion alichokililia mpaka kuzimia Ni unafiki Angekuwa anaujua Uchungu wa mume Angekuwa naye wakati wa Sakaratul Umauti. Ndio yaleyale ya mke wa mzee Yusuph kumlilia mke mwenzake mpaka kuzimia wakati alivyokuwa Hai kutwa kurushiana vijembe Kwenye mitandao.
Bora ya Zari kuliko Huu unafiki Wa Kitanzania tulioojaaliwa watanzania wengi Tukiwa Hai hatupendani Subiri mtu afee Sasa chaaaa. Hiki alichofanya Irene ni muendelezo tu wa ile roho ya Kinafiki iliyowatawala WA Tanzania wengi.