Haijalishi, ya Mond bado ni og na ndio bei yake hiyo bilion kadhaa na ndiye wa kwanza kuimiliki tz...hivyo hajabugi.Uwoya akiwa vacation dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa wcb.
Si nzuri sana lakini zinafaida ndiyo maana hazitangaziHuyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]
Pesa yake matumizi yake. ni sawa kabisa yupo sahihi.Uwoya akiwa vacation dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa wcb.
[emoji1][emoji1][emoji1]daah watu Wana spend Sana pesa wanapoipata haijulikani ,[emoji1787][emoji1]Si nzuri sana lakini zinafaida ndiyo maana hazitangazi
Ni pesa yake asipangiwe matumizi[emoji1][emoji1][emoji1]daah watu Wana spend Sana pesa wanapoipata haijulikani ,[emoji1787][emoji1]
Aisee
Anauza kei, wateja wake ni mamilionea hivyo huko wanatumia terminology nyingine sio umal*****a. Kei za kuwnzia mil na kuendelea zimepewa hadhi ya sio za vyangudoa...[emoji1][emoji1][emoji1]daah watu Wana spend Sana pesa wanapoipata haijulikani ,[emoji1787][emoji1]
Aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa sawaNi pesa yake asipangiwe matumizi
Huyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]