Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

Status
Not open for further replies.
Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.

Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi. View attachment 1864405

Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume[emoji15]
Mwanzo mlikuja na hoja dhaifu "Gari feki" mka badili gia "Gari Used" sasa hivi una leta habari za Uwoya kupanda RR uku ukiponda gari ya mondi kua n cheaper compared na hilo alilo panda uwoya

sasa mm nasema hivi 'kijana tafuta hela zako acha mambo ya kufatilia fatilia maisha ya wanaume wenzako kesho kesho kutwa utakua na familia halafu bado utakua na pigo za kudiscuss wanaume wenzio tuta kuja kukugongea mkeo'
 
Mwanzo mlikuja na hoja dhaifu "Gari feki" mka badili gia "Gari Used" sasa hivi una leta habari za Uwoya kupanda RR uku ukiponda gari ya mondi kua n cheaper compared na hilo alilo panda uwoya

sasa mm nasema hivi 'kijana tafuta hela zako acha mambo ya kufatilia fatilia maisha ya wanaume wenzako kesho kesho kutwa utakua na familia halafu bado utakua na pigo za kudiscuss wanaume wenzio tuta kuja kukugongea mkeo'
Kama vile unavyofatilia maisha ya mleta mada eehh? Tusipangiane cha kufatilia
 
Mwanzo mlikuja na hoja dhaifu "Gari feki" mka badili gia "Gari Used" sasa hivi una leta habari za Uwoya kupanda RR uku ukiponda gari ya mondi kua n cheaper compared na hilo alilo panda uwoya

sasa mm nasema hivi 'kijana tafuta hela zako acha mambo ya kufatilia fatilia maisha ya wanaume wenzako kesho kesho kutwa utakua na familia halafu bado utakua na pigo za kudiscuss wanaume wenzio tuta kuja kukugongea mkeo'
Mbona wewe mkeo anagongwa bila hata wewe kuongelea wanaume wenzio?
 
Hana lolote. Ni lijinga sana hilo lidada. Anakula tu pensheni ya baba ake!
Hiyo pensheni ya huyo baba yake hana kazi nayo?
Yaani miaka yote tokea ameanza kula bata Dubai huwa anakula pensheni ya baba yake na haiishi?
Una uthibitisho wa ulichoandika?
Je hilo li dada na lijinga kwa kwenda Dubai au lina ujinga mwingine?
 
unataka kusema tunapopanda ndege kusafiri tayari tunakua tumelingana na wanaozimiliki? kweli kila mtu ana akili bt tofauti yetu ni matumizi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanzo mlikuja na hoja dhaifu "Gari feki" mka badili gia "Gari Used" sasa hivi una leta habari za Uwoya kupanda RR uku ukiponda gari ya mondi kua n cheaper compared na hilo alilo panda uwoya

sasa mm nasema hivi 'kijana tafuta hela zako acha mambo ya kufatilia fatilia maisha ya wanaume wenzako kesho kesho kutwa utakua na familia halafu bado utakua na pigo za kudiscuss wanaume wenzio tuta kuja kukugongea mkeo'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.

Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi. View attachment 1864405

Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume[emoji15]
Aisee!! Ana tako teke teke kama faluda 😋😋😋
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom