mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Bwana ehHuyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]
Maana siyo kwa matumiz hayo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana ehHuyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]
Bwana ehHuyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]
Ah kabisaNi pesa yake asipangiwe matumizi
Aisee life easy Sana kwa watu .[emoji1]Bwana eh
Maana siyo kwa matumiz hayo
Ova
Hahahaha kweli kabisaAisee life easy Sana kwa watu .[emoji1]
Ngoja na sisi tupambane
Punguza chuki utashusha immunity ukipata covid walete😂Hana lolote. Ni lijinga sana hilo lidada. Anakula tu pensheni ya baba ake!
Kweli kabisaSana mzee acha ale Bata Ni pesa zake .
Ngoja na sisi tutafute zetu .
Tukutane uzeeni
I can bet if ni pesa yake 🤷Ni pesa yake asipangiwe matumizi
Waulizwe wote wakiwa na kajalaHuyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]
Kwani gharama ya kukodi kwa siku moja ni Sawa na gharama kununua?,Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.
Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi. View attachment 1864405
Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume[emoji15]
[emoji1][emoji1][emoji1] hapa panapigwa umbea tu.Kwani huu uzi wa pono? Kuna wafia dini humu
Si nzuri sana lakini zinafaida ndiyo maana hazitangazi