Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

Status
Not open for further replies.
Biashara ya kuuza Biriani ndio biashara inyolipa zaidi hapa mjini, wadada wengi wa mjini wameushtukia huo mchezo

mrangi

Yule biriani yake yabasmati mzee .

Sahani million 4 hivi Ina vikorobwezo konki.

Nyama ya kuku,sungura ndizi mbivu juice n.k

Wanakula ma don tu ila chokambaya unaweza pewa makombo akikuonea huruma Kama yule dogo jinga.

By the hili lidada lizuri nyie ila akili zero[emoji1][emoji1787]
 
Yule biriani yake yabasmati mzee .

Sahani million 4 hivi Ina vikorobwezo konki.

Nyama ya kuku,sungura ndizi mbivu juice n.k

Wanakula ma don tu ila chokambaya unaweza pewa makombo akikuonea huruma Kama yule dogo jinga.

By the hili lidada lizuri nyie ila akili zero[emoji1][emoji1787]

Nani anashida na akili? mkuu ukianza kutafuta akili kwa wanawake mbona utapata shida sana
 
Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.

Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi.

View attachment 1864405

Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume [emoji15]
USA kuna Uber mpaka choppper Helicopter
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom