Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Muuza Ngenya DubaiHuyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muuza Ngenya DubaiHuyu ana misheni gani hapa mjini[emoji15]
Uza tigo na wewe! Mbona simple tu semq uwauzie wenye hela 😅😅😅Aisee life easy Sana kwa watu .[emoji1]
Ngoja na sisi tupambane
Hahahahah kwamba lift ina thamani kuliko possession sikuhizi?unataka kusema tunapopanda ndege kusafiri tayari tunakua tumelingana na wanaozimiliki? kweli kila mtu ana akili bt tofauti yetu ni matumizi.
PointNamshauri awe anavaa sketi zile fupi atuzuge na mapaja yake mazuri, akivaa suruali kama hiyo anakua mchaga haswa. Tacko halipo
Sisi tumesoma mpaka Masters lakini maisha magumu[emoji1][emoji1][emoji1]daah watu Wana spend Sana pesa wanapoipata haijulikani ,[emoji1787][emoji1]
Aisee
unaringia hela na mafanikio ya mwanaume mwenzio!!! aisee ushoga hauishi TanzaniaHaijalishi, ya Mond bado ni og na ndio bei yake hiyo bilion kadhaa na ndiye wa kwanza kuimiliki tz...hivyo hajabugi.
Like demu ni lizuri ila Lina akili za kijinga jinga na limbukeni.Mwaka juzi si alikuwa analia kuwa ada ya mwanae ilimshinda?!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unasemaje!?Uzuri hatoi mtandao pendwa ata upande dau gani angalau anacho cha kuringishia mbeleni..
Yule biriani yake yabasmati mzee .Biashara ya kuuza Biriani ndio biashara inyolipa zaidi hapa mjini, wadada wengi wa mjini wameushtukia huo mchezo
mrangi
Yule biriani yake yabasmati mzee .
Sahani million 4 hivi Ina vikorobwezo konki.
Nyama ya kuku,sungura ndizi mbivu juice n.k
Wanakula ma don tu ila chokambaya unaweza pewa makombo akikuonea huruma Kama yule dogo jinga.
By the hili lidada lizuri nyie ila akili zero[emoji1][emoji1787]
Kutoa ndogoSi nzuri sana lakini zinafaida ndiyo maana hazitangazi
Aisee lugha hii 🤣 🤣 🤣Si nzuri sana lakini zinafaida ndiyo maana hazitangazi
USA kuna Uber mpaka choppper HelicopterUwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.
Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi.
View attachment 1864405
Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume [emoji15]