Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

Status
Not open for further replies.
Haijalishi, ya Mond bado ni og na ndio bei yake hiyo bilion kadhaa na ndiye wa kwanza kuimiliki tz...hivyo hajabugi.
ndio wa kwanza kumiliki tz?? unaishi mkoa gani mkuu simiyu??? mbona watu wanasukuma sana hizo mzee sema syo kila atayenunua atajitangaza.Leo ni ijumaa na jioni hii unaweza kwenda daraja la sarenda au kakae bara bara ya coco beach hope utakuja kunishukuru
 
Uwoya kwa kweli anadatisha, Tako kama faluda ya wahindi. Tako tepetepe, hii ndio Biriani halisi kabisa

Huyu lazima umrafi usiku kucha, Na unaachaje?

Emiir mrangi

Sijakata tamaa ya kukutana nae, yaani kitu lainiii kama maini vile!! [emoji2305][emoji2305][emoji2305] Walai nabata ushungu [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Punguza chuki utashusha immunity ukipata covid walete😂
Loool!!li mama wewe una mi avatar km upupu?? sasa ndoo umejipost au!!! aaaah!! wewe mama punguza mbwembwe sasa mitaa hiyo hapo hapo si sawa tu na Mlimni kwetu bana!! aaaah!! ndo tuone matawi au......bado sana mama!
 
Huyu kijana Platinum anajitahidi sana.
At least ametimiza ndoto yake no matter how much amesuffer kwa humiliation BET kwani ndio mwanzo wa kujisahihisha.
 
Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.

Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi. View attachment 1864405

Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume[emoji15]
Nimeishia kusoma nilipoona Ghost ina bei kubwa kuliko cullinan Black badge 2021 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi huyo mtoto alimzalia Hospi gani hapa mjini make wasanii wengi hupenda AAR, na huyu hana Bima.. sijui bado ipo Bongo au magu aliinyonya macho??
 
Sijakata tamaa ya kukutana nae, yaani kitu lainiii kama maini vile!! [emoji2305][emoji2305][emoji2305] Walai nabata ushungu [emoji3064][emoji3064][emoji3064]

Dah kitu cha maji kabisa kama kimekandiwa mayai, anahmasisha umle nnya hata kama hutaki. Huyu demu kwangu hazeeki aisee bado nina uchu nae mkubwa
 
[emoji23] [emoji23] Tatizo unamuona kwenye Tv sina cha eleza zaidi nachofahamu

Huyu demu Ni Top Class Bitch, unafahamu vizuri hiyo mana top Class? Maana yake huduma zote zinapatikanwa tena kwa kiwango kilicho bora
 
Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.

Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi. View attachment 1864405

Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume[emoji15]
acha ufala wewe, nishapanda ndege lakini uwezo wa kuinunua sina
 
Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.

Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei ghali zaidi.

View attachment 1864405

Yaani dada unaenda kudanga na buzi lako Dubai unaenda na mwanao unamfundisha nini mtoto wako wa kiume [emoji15]
Usikute hawa wanalala na kuoga pamoja, masta uchwara wa bongo ni kichefuchefu kweli. Mfano huyu Irene ana ustaa gani hapa Bongo?
 
Kwani gari ikiwa inatoa huduma za Uber ndo inakuwaje? Ujiko unashuka?

Hata Uber zina category zake. Uber zote haziko sawa.

UberX na UberXL ni tofauti mbona!
Waliaminishwa na Da' Mange kwamba US Cadillac si lolote si chochote, na inatumika kama Uber tu... yaani it's nothing but just a US Version of Passo or Vitz or maybe IST bila kuwaambia ukweli kwamba kuna high-end cars nyingi tu zinazotumika kama Luxury Uber!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom