Irene Uwoya amjibu Diamond, kapanda Uber ya Rolls Royce Dubai

Status
Not open for further replies.
Kwani gharama ya kukodi kwa siku moja ni Sawa na gharama kununua?,
 
Hata wahalifu wanabebwa kwenye Porsche, Lamborghini na hata Bentley continental na Audi R8 hizo ni baadhi tu ya gari za polisi Dubai
Ila hakuna mwenye hizo gari akabezwa eti hata wao wamepanda kwani kupanda na kumiliki ni vitu viwili tofauti
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…