Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajifanya Kama kupe au Luba alivyomgandaa na mnaafiki Sana Yule Kaka,Kuna kipindi alifulia alikua anamchekaga Irene nae hashtuki kwa aristoter[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila aristoteee ananiachaga hoi, sio kwa kujishaua kwa uwoyaa, yaan had uwoyaa mwenyewe kamchoka. Lol
Atakuja juta vibaya huyu dada, wee muache tyuuh.
Wee subiri utaona tyuuh.Haonekani leo kafichwa [emoji2956]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asubiri afulie kwan, ndo atashtuka, huyu uwoya ni km mwehu fulan, hajielewAnajifanya Kama kupe au Luba alivyomgandaa na mnaafiki Sana Yule Kaka,Kuna kipindi alifulia alikua anamchekaga Irene nae hashtuki kwa aristoter
Eeeh😂😂Newzzzzzz!!! [emoji6][emoji6][emoji6]
Ukionana naye live uje u comment tena hapa unaweza kuja ukafuta hapa.Huyu mama anazeeka na utamu wake,Yani nikimuangalia bado namuona Kama mbichi kuliko hata watoto wa form 6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeh[emoji23][emoji23]
Huyu 'tajiri' ukikutana nae ana kwa ana.. anawaka hivi hivi?Celebrity wa kike tajiri Tanzania bara na visiwa vyake Irene uwoya rasmi sasa anajikita katika uwekezaji wa biashara ya mall nchini Tanzania. Katika maeneo ambayo ameona patafaa ni kigamboni au mbezi beach. Pia tajiri huyo wakike ameunda timu ya watu 10 wakiwemo wachumi na wanasiasa kwaajili ya kuangalia uwezekano wa kuinunua quality mall na kuifufua upya!
Sasa wanasiasa wa kazi gani kwenye biashara? Au ndo masponsor? Sema yale huwa majinga wacha Irene ayachuneCelebrity wa kike tajiri Tanzania bara na visiwa vyake Irene uwoya rasmi sasa anajikita katika uwekezaji wa biashara ya mall nchini Tanzania. Katika maeneo ambayo ameona patafaa ni kigamboni au mbezi beach. Pia tajiri huyo wakike ameunda timu ya watu 10 wakiwemo wachumi na wanasiasa kwaajili ya kuangalia uwezekano wa kuinunua quality mall na kuifufua upya!
Code ya ngosha hapo sijainyaka shoooMuambie ngosha akimuacha imekula kwake,story tunazo Ila tumestaafu umbea
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]shogaaaaaaa!!nimestaaafu umbeaaaCode ya ngosha hapo sijainyaka shooo
We mtu mfupi unamatatizo sana!
Sio kweli yaani urefu wako ni sawa na kaburi
Aaah usinifanyie hivyo jmn basi hata pm nijuze[emoji2][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]shogaaaaaaa!!nimestaaafu umbeaaa
Mse.nge.re.maHapana la marehemu mama yko