MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Kanisa la Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onyo kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano la Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na wewe umetimuliwa nini? maana unaandika huku unahemea juujuuKabisa LA Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onto Kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano LA Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
Tamko hujaliona hapo juu?Vijakazi wa mwamposa kazini. RC ya wapi hiyo!??
Kanisa limejuaje?Kabisa LA Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onto Kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano LA Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
Kabisa LA Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onto Kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano LA Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
Mimi nashangaa mbona wakatoliki wengi tu husali makanisa ya upako??!Haisaidii, wakitaka kwenda kwa hiyari yao wataenda tu.
We mgeni teknolojia sio!??Tamko hujaliona hapo juu?
Ndio ushangae sasa.Kanisa limejuaje?
Au na lenyewe lilihudhuria ili kuwaona hao washirika wake walioenda kwa mwamposa,hebu fafanua kidogo.
Soma post #4 na #5We mgeni teknolojia sio!??
Haamini anajua tumetunga. Data zote tumeweka hapo.Soma post #4 na #5