Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

Huu nao ni utumbo, wanamtisha nani, kila mtu ana haki ya kuabudu anachokiamnini, au wanahisi wanasimamia watoto wa chekechea?

Mtu ana uhuru wa kuwa anapotaka na siyo kushikwa masikio kama mbuzi anapelekwa machinjioni
Waoh hawajazuia ww kwenda, Ila wametoa masharti Yao, mbona jamaa wameweka na facts kabsa.

Jaribuni kuwa waelewa. Wala hamna wanaotishwa, ni hivi ukienda huko Sisi tunaamin umepotea hakuna utajiri bila kazi,
 
Huu nao ni utumbo, wanamtisha nani, kila mtu ana haki ya kuabudu anachokiamnini, au wanahisi wanasimamia watoto wa chekechea?

Mtu ana uhuru wa kuwa anapotaka na siyo kushikwa masikio kama mbuzi anapelekwa machinjioni
Point. Uhuru wa kuabudu uheshimiwe
 
Waoh hawajazuia ww kwenda, Ila wametoa masharti Yao, mbona jamaa wameweka na facts kabsa.
Jaribuni kuwa waelewa. Wala hamna wanaotishwa, ni hivi ukienda huko Sisi tunaamin umepotea hakuna utajiri bila kazi,
Kkkkk Mbona Mwamposa HUWA anaombea watu wapate KAZI? Fatili Channel take ya Arise and Shine TV.
 
RC wana wivu. Jamaa alijaza nyomi ya hatari.
Hata babu wa Loliondo naye alijaza maelfu ya watu kule Kijijini kwake! Lakini mwisho wa siku ukweli ulijulikana.

Kanisa Katoliki lina haki ya kuwaelimisha waumini wake juu ya hawa Matapeli wanaouza maji, sabuni, vitambaa, chumvi, nk kwa bei ya kulangua! Eti kwa kigezo yana upako! Huu ni wizi wa asubuhi.

Mtu anadanganya kuleta utajiri kwa miujiza! Hakuna utajiri wa aina hiyo. Utajiri unatafutwa. Na hauji tu from nowhere.
 
Kkkkk Mbona Mwamposa HUWA anaombea watu wapate KAZI? Fatili Channel take ya Arise and Shine TV.
Haaaaaa kweli mkuu na we unamfatiloaga huyu msani wa royo yuwa ya biblia maana hadi ushuhuda wanaoyoaga wengi ni niwakupangwa
FB_IMG_16504387759126857.jpg
 
Roma ndio zao la hawa kina mwamposa

Zaman Roman Catholic ilikuwa inauza Vyeti vya msamaha , nowdays kina mwamposa wanafanya Yale Yale iliyofanya Roma enzi zile

Biblia inawaita Kahaba mkuu na mabint zake

Kilichopo hapo Ni Roma kuingiliwa kwenye biashara zake ,maana waumini watapeleka hela kwa Tapeli mwamposa
 
Anawakamata sana watu wajinga na akina mama! Yaani ndani ya miaka michache tu, jamaa anaogelea kwenye dimbwi la utajiri kupitia maji yake ya upako, na takataka nyingine.
Ni muhuni tu , mke wangu nilimwambia kuhusu huyo tapeli , had akanielewa,

Mwamposa et anaponya vilema Cha ajabu Ni wenye miguu miwili au wanaochechemea tu,

Ila jamaa Ni msanii sana, kwasasa ana ukwasi mkubwa sana
 
Back
Top Bottom