Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

Inawezekana Kanisa Katoliki linaona mbali! Hizo sadaka wakichukua wao zinajenga shule, zahanati, visima vya maji, kuboresha miundo mbinu....
Akichukua Mwamposa zinaenda wapi?,

Zinaenda kujenga kanisa na benk zake kama mwingira alivyojenga efatha.

Kwani hizo shule za katoliki ama hospital za katoliki huwa zinatoa ofa ya kuwapa huduma bure wakatoliki waliotoa sadaka zao zikajenga?

Mfano wakienda kusoma shule ya katoliki watu wawili mmoja mkatoliki mwingine sio mkatoliki. Je ada wanalipa tofauti mkatoliki anapunguziwa kisa ametoa sadaka kujenga? Ama wote wanalipa ada sawa sawa
 
Huu nao ni utumbo, wanamtisha nani, kila mtu ana haki ya kuabudu anachokiamnini, au wanahisi wanasimamia watoto wa chekechea?

Mtu ana uhuru wa kuwa anapotaka na siyo kushikwa masikio kama mbuzi anapelekwa machinjioni

Kama wakienda huko wanapokea uponyaji, watakuwa wanakosea sana,

Kuna story moja ndani ya biblia ipo very interesting, inafanana sana na wanachofanya hao mapadre wakatoliki,

Yohana 9: 16...., nakazia mstari wa 22 na 25

Waache wafuate imani wanayoona inawasaidia maishani mwao!!
Usisahau hata kuwa mkatoliki hulazimishwi. Kama hawawezi kufata mafundisho ya kanisa wanalojinasibu nalo bas waachane nalo.
Si kila kanisa linavumilia ushirikina!
 
Nyakati hizi waumini wanabembelezwa sana maana makanisa ni mengi unaweza ukaenda kusali kanisa lolote tu ila katoliki mapato yatapungua
wSio kwa katoriki. Kwetu RC ni Bora ,wabaki waumin 10 na padre m1 kulkoa waumin 1000 na padre 10 wasio-jielewa.
Hata mm ikibid ruksa kuzuiwa huduma za kikanisa RC
Old seminarian
 
Nyakati hizi waumini wanabembelezwa sana maana makanisa ni mengi unaweza ukaenda kusali kanisa lolote tu ila katoliki mapato yatapungua
Tangu lini RC ikabembeleza mtu anayekiuka kiapo cha imani yake, eti kisa mapato?
 
RC kanisa kuuubwa ila hawana nguvu za MUNGU. Wao ni porojo tu hata uwapelekee mgonjwa wa Mafia HAWAWEZI kumuombea.

Wanasubiri uumwe, uzidiwe wakupe sala ya mwisho kama PENGO alivyomfanyia Magufuli 17/03/2021.

YAANI WANAVAA MAMISALABA MAKUBWA ILA UPAKO ZERO.

ACHENI WIVU.
Mjomba kuponywa kwa m2 ni imani.
sjui unaskia imaniiiiiii.
Imanii ni sio k2 chepesi ndugu .
Fikiria vzur , yesu Alisema "mwny iman kma punye ya haradani , anaweza kuuambia mlima huu toka hapa nenda kuleee."
Try to imagine, wale waliowai kuiona punje ya haradani wanadai n ndogo zaid ya mbegu ya KABICHI.
 
Mbona RC wanamuomba Marehemu Mariam awaombee kwa Mungu wana maana gani?
Na ile Rozali inammaana gani?
Watu wanataka uponyaji,zama zimebadilika Mkuu,siwezi kukaa naumwa wakati kuna Mtumishi ana suluhisho la shida yangu!!,mbona kwa Waganga tunaenda na church tunaenda vilevile."Kunya anye Kuku,akinya Bata kaharisha'
Yote hii ni katika ile hali ya kutojitambua akili
 
Kwa kweli watanzania ni watu wasiojitambua, Mwamposa anawauzia maji na mafuta toka Israel wakati Waisrael wenyewe wana matatizo lukuki na hivyo vitu haviwasaidii hata kidogo, hivi mtu unashindwa nini kujiuliza au ni kule kuchotwa akili kama afanyavyo T.B. Joshua?
Mkuu TB ashakata kamba kitambo watu wameshazika

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana Kanisa Katoliki linaona mbali! Hizo sadaka wakichukua wao zinajenga shule, zahanati, visima vya maji, kuboresha miundo mbinu....
Akichukua Mwamposa zinaenda wapi?,
Kwa Mungu, kila sadaka tunaambiwa tunamtolea Mungu.
 
Tangu lini RC ikabembeleza mtu anayekiuka kiapo cha imani yake, eti kisa mapato?
Mkuu kwani watu wanaapa kwa mungu ama kwa kanisa?

Haya makanisa ni taasisi za kitapeli.

Hapo kinachowauma ni kukosa sadaka na mwamposa kula sadaka.

Watu wazima kabisa wanaojiita mapadri wanakaa wanatoa waraka wa kisenge hivi utafikiri wanafikiria kwa kutumia makalio.

Hivi dini zimejaa watu wasenge kweli.
 
Haisaidii, wakitaka kwenda kwa hiyari yao wataenda tu.
Waende tu! Sasa wamesha enda wamerudi walisahau nini??
[emoji116][emoji116]
Ufunuo wa Yohana 2
24 Lakini nawaambia ninyi wengine mlioko Thiatira, wo wote wasio na mafundisho hayo, wasiozijua fumbo za Shetani, kama vile wasemavyo, Sitaweka juu yenu mzigo mwingine.

25 Ila mlicho nacho kishikeni sana, hata nitakapokuja.

26 Na yeye ashindaye, na kuyatunza matendo yangu hata mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa,

29 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.
 
Zinaenda kujenga kanisa na benk zake kama mwingira alivyojenga efatha.

Kwani hizo shule za katoliki ama hospital za katoliki huwa zinatoa ofa ya kuwapa huduma bure wakatoliki waliotoa sadaka zao zikajenga?

Mfano wakienda kusoma shule ya katoliki watu wawili mmoja mkatoliki mwingine sio mkatoliki. Je ada wanalipa tofauti mkatoliki anapunguziwa kisa ametoa sadaka kujenga? Ama wote wanalipa ada sawa sawa
Shukuru Ipo shule na Hospitali!
 
RC kanisa kuuubwa ila hawana nguvu za MUNGU. Wao ni porojo tu hata uwapelekee mgonjwa wa Mafia HAWAWEZI kumuombea.

Wanasubiri uumwe, uzidiwe wakupe sala ya mwisho kama PENGO alivyomfanyia Magufuli 17/03/2021.

YAANI WANAVAA MAMISALABA MAKUBWA ILA UPAKO ZERO.

ACHENI WIVU.
Ukiufuata na Kuuishi Ukatoliki ni sawa na chupa ya maji safi iliyo jaa hakuna nafasi tena ya kuweka uchafu[emoji123][emoji106]
 
Back
Top Bottom