TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Wanasema "hizi ni drama"!

Yaani kuuana ni drama, hivi was she in a good state of mind? Manake katika hali ya kawaida mtu huwezi kusema kutekana na kuuana ni drama!
Kwa taifa la watu wenye kujua nini maana ya thamani ya uhai wa mwanadamu, hiyo kauli yake ilitosha kabisa kumtoa pale juu na yeye kurudi kwao huko unguja akacheze na wajukuu.

Raisi wa nchi ambaye ndio tumaini la Kila mtu kwenye masuala yote ya kiusalama huwezi ukatoa kauli kama hiyo
 
Yule mwanamke amelawitiwa halafu ndio ameuawa.
Yule mjukuu wake hata sijui kama anajua ' kulawiti " maana yake nini.
Lakini ndivyo alivyosema kwamba bibi yake kalawitiwa.
Halafu pia kasema kada huyu kauawa kikatili sana.
Yule mjukuu,Asifiwe Kibiki, anasema ,"vijana watatu wamefika,sijui walimlawiti wote,maanake sisi tulikimbia kwa woga,ili na sisi tusilawitiwe."
Lakini hizi habari labda zote zitakuwa kwenye gazeti kesho asubuhi.
Lakini, people have a right to know.
Ukiwaambia watu kuhusu haya maovu,watu wanakuwa alert.
Kwa sababu wanafikiria,"If they do it to the green tree, what will happen to the dry tree?"

..hata mimi nimemsikiliza yule binti sijui kama anaelewa maana ya neno kulawiti.

..kwa vyovyote vile tukio lililofanyika kwa huyu Bibi ni la kinyama na tuvihimize vyombo vya dola viwakamate waliohusika.
 
Yule comrade kawaida anasemaje kuhusu hili

Ova
 
..hata mimi nimemsikiliza yule binti sijui kama anaelewa maana ya neno kulawiti.

..kwa vyovyote vile tukio lililofanyika kwa huyu Bibi ni la kinyama na tuvihimize vyombo vya dola viwakamate waliohusika.
Laiti marehem angelikua mpinzani..
 
Huyu katibu sijui kayakanyaga kwa nani?

Ova
 
Unajitoa akili
..sijitoi akili.

..unakumbuka kejeli alizotupiwa Lissu baada ya kushambuliwa?

..hazikuwa zikitoka kwa CCM na Polisi?

..juzi si Mama kasema kifo cha Mzee Kibao ni jambo la kawaida tu?

..Mama pia si alisema risasi tatu zilitosha kumuua Lissu?
 
Laiti marehem angelikua mpinzani..

..Na nyinyi CCM ni wapumbavu sana.

..achaneni na kutumia msiba wa mwenzenu kubeza na kulahalisha vifo vya wapinzani.

..wekeni shinikizo Polisi wawakamate waliohusika.

..Jeshi la Polisi ni la kwenu, na huu ndio wakati wakuonyesha kuwa Polisi ni CCM.
 
Back
Top Bottom