Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Ndiye mwanzilishi wa huu UHAYAWANI, itachukua muda kurudi tulipokuwa kabla Magufuli hajaja madarakaniJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiye mwanzilishi wa huu UHAYAWANI, itachukua muda kurudi tulipokuwa kabla Magufuli hajaja madarakaniJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Sasa hv nan anafanya?Ndiye mwanzilishi wa huu UHAYAWANI, itachukua muda kurudi tulipokuwa kabla Magufuli hajaja madarakani
Mtoto ajamboMchepuko umetenda kazi.
Naamuru Poor Brain akamatwe kwa kumuangamiza shangazi yetu.
Cc: Mbaga Jr Kalpana Dejane
anaendelea vizuri, asante kwa dawa yakoMtoto ajambo
Wanafanya wananchi ambao wanaamini kuteka na kuua ndiyo njia ya kuwashinda wapinzani wao wa kisiasa au kibiashara kama alivyokuwa anafanya Magu.Sasa hv nan anafanya?
sifahamu chochote juu ya hilo gentlemanKweli wanaoteka na kuua watu kws kutumwa na dola basi watakufa lwa mateso makali sana upanga juu ya upanga

FACT.Ndiye mwanzilishi wa huu UHAYAWANI, itachukua muda kurudi tulipokuwa kabla Magufuli hajaja madarakani
Naunga mkono hojaKifo ni kifo tu.
Juzi mwingine kavunjwa miguu safi snTunekoelekea ni kutamu
Hii ngoma wote tutaicheza
Ova
CCM ni wajinga sn kwa hizo ni drama tuTulisema mda utafika tu,haichagui muuaji ni nani? Ila unaibebaje hisia unaposikia mtu ameuwawa na wasiojulikani?
wacha yatokee CCM ni wajinga snKama ambavyo tunapiga kelele haya kutokea kwa viongozi wa CDM, vivyo hivyo kwa CCM.
Haya hayapaswi kutokea katika jamii yetu, tuungane kuupinga unyama huu.
Gentleman nasikia umepita bila kupingwa jimboni kwako, usinisahau.... namba yangu ya MPESA ni ile ile inaishia 43.sifahamu chochote juu ya hilo gentleman![]()
Safi sana. Natamani wauwawe viongozi wa CCM kwa idadi inayofikia wapinzani wote waliouliwa na vyombo vya dola na wale waliouliwa na makada wa CCM, ingependeza sana halafu ndiyo tukae chini tufanye maridhiano.Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.
Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.
Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
==============================
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”
Pia, Soma:
Kiongozi wa CCM akifanyiwa chochote siku hizi sitapiga kelele kwa sababu wao wanakuwa kimya wengine wanapouawa. Tena wanakejeli.Kama ambavyo tunapiga kelele haya kutokea kwa viongozi wa CDM, vivyo hivyo kwa CCM.
Haya hayapaswi kutokea katika jamii yetu, tuungane kuupinga unyama huu.
Sisiemu mwenzenu na anajulikana kitambo kuwa ni wa kwenu .chairman alishaga waambia sumu haionjwi kwa ulimi walioskia narkutii wameskia, walioshupaza shingo ndiyo hivyo tena huku mwenyewe akiendelea kushushia nyagi, barafu na ndimu 🐒
kwenu wapi na nani gentleman, wacha upotoshaji tafadhali 🐒Sisiemu mwenzenu na anajulikana kitambo kuwa ni wa kwenu .