Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM wanajuana wenyewe, unaweza kukuta wametengeneza hilo tukioyule mama sidhani kama atakuwa tapeli wamuue au kuiba waume za watu ...sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wanajuana wenyewe, unaweza kukuta wametengeneza hilo tukioyule mama sidhani kama atakuwa tapeli wamuue au kuiba waume za watu ...sijui
Kwan alitaka kujiunga Chadema ndo akauliwa???maana si Wana Chadema ndo walkua wanatekwa na wanauliwa?Chadema ni janga
Mbona una hema juu juu Kwa nn?Huku tunaendelea vema, japo kuna viuzushi vinapita watu wanang'ang'aniana mwanamke, lakini vijikelele vinasikika eti anataka kutekwa na kuuawa, na hao wanaojifanya watekaji wanasema watamrudia, hali ni shwari kabisa
Hapana mkuu hali ni shwari tu mkuu,Mbona una hema juu juu Kwa nn?
Ni kuendelea na kazi,kuifungua nchi na kuhakikisha ndoto ya uchumi kupaa juu kama kipepeo.LENGO LA SIASA ZA TANZANIA NI NINI KWA SASA?
Huu mwaka humalizi Bila kuvunjwa Taya Kamanda.Gentleman,
muungwana kiongozi R I.P, kapigwa risasi imebainika,
ulitaka mimi nigeuke niwe Kinjikitile Ngwale wa kubadilisha risasi kua maji?🐒
Hospital ya tosamaganga kwani ndio ipi na Iko maeneo gan au wanamaanisha Ile hospital ya Ipamba?Kumbe hospitali ya Tosamaganga ndiyo ya rufaa! Sikulijua hilo.
Yaan haya magaidi ya "chadema" yamekua na nguvu sana ,,kumbuka yalivyotaka kumtoa Lissu uhai,kumbuka walivyo mpoteza ben saa 8,kumbuka aqulina,kumbuka yalivyokua yanavamia watu mchana kweupe Arusha na kunyang'nya watu pesa mchana,kumbuka yalivyo mshusha mzee kibao kwenye basi na kwenda kumtesa ,kumsulubishw na hatimaye yakamuua, na Juzi yalitaka kumteka tarimo bonge yaan haya "machadema" na yameonekana kabsa kweny picha na wala hayakamatwi na kipind kile clouds yalionekana kabsa yakifanya uvamiz na yakaachwaItakuwa ni magaidi ya chadema pumzika salama mama
Uzito,giza na kukosa pumzi ya uhai.Kwanini?
Unataka watu wasahau ? Ushawai poteza ndugu ww aliye uliwa na mtu?Mwaka wa tatu sasa hayupo, ila kelele zenu n zile zile 😂
Tuliwambiwa eti mkiwamalza chadema mtaanza kuuana wenyew Kwa wenyew!! Ndo utabir unatimia au?Haya matukio yakitokea opposition tunasingizia CCM, serikali yake na Green Guard... Je na Kwa hili tulalamike Moja Kwa moja kuwa ni CDM na Redbrigade Yao???
Nafikiri tuliache kuwa halina majibu hadi uchunguzi wa pasipo na shaka yoyote utakapotoa majawabu
nimelia sana gentleman dah!!🤣Huu mwaka humalizi Bila kuvunjwa Taya Kamanda.
Wakikukosa saaana watafyatua ngoko hizo.
Na yule katiba wa uvccm Kagera naye achunguzwe Kwa kwelMdude Nyagali! Mdude Nnyagali, pamoja na yule Askofu anayetembea kila kona na Lissu, wachunguzwe, wametishia kutoa watu roho mara kadhaa