Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
CCM wamezoea kuuana kwaajili ya vyeo.
Hapo uchunguzi unatakiwa uanzie kwa kuangalia huyu katibu alikuwa upande gani miongoni mwa watakaogombea ubunge mwakani.
Kutokana na nafasi yake, kama alionekana kuegemea upande mmojawapo wa wanaotaka kugombea uchaguzi wa mwakani, kwa hulka na ushetani uliopo ndani ya CCM, siajabu upande mwingine, wameamua kumwondoa ili asuwe kikwazo kwenye kura za maoni.
'CCM hawaachiani maji kwenye glass mezani' - Jakaya Kikwete.
Wamezoea kuteka na kuwaua wapinzani na wanaomkosoa Rais. Sasa wameanza kumalizana ndani kwa ndani!! Laana imeanza kufanya kazi.
Hapo uchunguzi unatakiwa uanzie kwa kuangalia huyu katibu alikuwa upande gani miongoni mwa watakaogombea ubunge mwakani.
Kutokana na nafasi yake, kama alionekana kuegemea upande mmojawapo wa wanaotaka kugombea uchaguzi wa mwakani, kwa hulka na ushetani uliopo ndani ya CCM, siajabu upande mwingine, wameamua kumwondoa ili asuwe kikwazo kwenye kura za maoni.
'CCM hawaachiani maji kwenye glass mezani' - Jakaya Kikwete.
Wamezoea kuteka na kuwaua wapinzani na wanaomkosoa Rais. Sasa wameanza kumalizana ndani kwa ndani!! Laana imeanza kufanya kazi.