TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Gentleman nasikia umepita bila kupingwa jimboni kwako, usinisahau.... namba yangu ya MPESA ni ile ile inaishia 43.

Jina litakuja DIVISHENI FOO.
jimboni kwangu hakuna upinzani gentleman, ispokua kitongoji kimoja tu ambacho vile vile mgombea huyo nae amejiengua jana .

hakuna muujiza 🐒
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.

Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.

Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

==============================

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”


Pia, Soma:
Kama siyo wivu wa kimapenzi basi ni majambazi.
 
Yule mwanamke amelawitiwa halafu ndio ameuawa.
Yule mjukuu wake hata sijui kama anajua ' kulawiti " maana yake nini.
Lakini ndivyo alivyosema kwamba bibi yake kalawitiwa.
Halafu pia kasema kada huyu kauawa kikatili sana.
Yule mjukuu,Asifiwe Kibiki, anasema ,"vijana watatu wamefika,sijui walimlawiti wote,maanake sisi tulikimbia kwa woga,ili na sisi tusilawitiwe."
Lakini hizi habari labda zote zitakuwa kwenye gazeti kesho asubuhi.
Lakini, people have a right to know.
Ukiwaambia watu kuhusu haya maovu,watu wanakuwa alert.
Kwa sababu wanafikiria,"If they do it to the green tree, what will happen to the dry tree?"
 
Yule mwanamke amelawitiwa halafu ndio ameuawa.
Yule mjukuu wake hata sijui kama anajua ' kulawiti " maana yake nini.
Lakini ndivyo alivyosema kwamba bibi yake kalawitiwa.
Halafu pia kasema kada huyu kauawa kikatili sana.
Yule mjukuu,Asifiwe Kibiki, anasema ,"vijana watatu wamefika,sijui walimlawiti wote,maanake sisi tulikimbia kwa woga,ili na sisi tusilawitiwe."
Lakini hizi habari labda zote zitakuwa kwenye gazeti kesho asubuhi.
Lakini, people have a right to know.
Ukiwaambia watu kuhusu haya maovu,watu wanakuwa alert.
Kwa sababu wanafikiria,"If they do it to the green tree, what will happen to the dry tree?"
Walimlawiti Tena?
Ni ile laana ya mzee Kibao .
 
Sasa Saa100 awekewe ulinzi wasije kumfanyia walichomfanyia huyu Katib...
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.

Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.

Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

==============================

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”


Pia, Soma:

View: https://youtu.be/_abL_Av-Bvc
 
Back
Top Bottom