TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.

Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.

Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

==============================

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”


Pia, Soma:
Kifo ni kifo na hivi ni vijidrama tu wala watu wasiumie.
Hakika nimifurahia hii drama na SIJAUMI WALA KUSIKITIKA,
 
Mdude Nyagali! Mdude Nnyagali, pamoja na yule Askofu anayetembea kila kona na Lissu, wachunguzwe, wametishia kutoa watu roho mara kadhaa
Kwann bujasema llte kuhusu yule uvccm wa kagera au m/kiti wa cm aliyedai hizi ni sanaa na wote watakufa!??
 
nimelia sana gentleman dah!!🤣

nakuombea Baraka na Neema za Mungu akujalie utulivu nafsini mwako na akuepushie mawazo na fikra za mafarakano , uovu na uharibifu.
Akujalie upendo na moyo wa kuwawazia wengine mema.

Mungu akubariki sana gentleman.
Aimen 🙏
FB_IMG_17258750786984957.jpg

Wajukuu wamepoteza Babu sababu ya njaa zenu Kamanda.
 
Yy ndiye muasisi mkuu wa siasa za kuuana ,kulawiti na kuteka .alikuwa na genge la kuua wapinzani .kaondoka na roho nyingi za wasio na hatia .mwenyez mungu amchome mpaka akome
Na vp hawa wanaoendelea kuua mana JPM hayupo mwaka wa tatu sasa
 
Mambo ya kawaida sana haya kifo ni kifo tu kajidrama ka IRINGA haka. Ni muvi tu hii.
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.

Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.

Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

==============================

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”


Pia, Soma:
Poleni sana familia!
R.I.P
 
nachofahamu ni kwamba kila mwanadamu ana karama kama zawadi alopewa na Mungu.

Tutumie karama zetu kwa manufaa yetu na wengine kwa upendo gentleman, na Mungu atatubariki sana 🐒
Kweli wanaoteka na kuua watu kws kutumwa na dola basi watakufa lwa mateso makali sana upanga juu ya upanga
 
Back
Top Bottom