Kwa taifa la watu wenye kujua nini maana ya thamani ya uhai wa mwanadamu, hiyo kauli yake ilitosha kabisa kumtoa pale juu na yeye kurudi kwao huko unguja akacheze na wajukuu.Wanasema "hizi ni drama"!
Yaani kuuana ni drama, hivi was she in a good state of mind? Manake katika hali ya kawaida mtu huwezi kusema kutekana na kuuana ni drama!
Yule mwanamke amelawitiwa halafu ndio ameuawa.
Yule mjukuu wake hata sijui kama anajua ' kulawiti " maana yake nini.
Lakini ndivyo alivyosema kwamba bibi yake kalawitiwa.
Halafu pia kasema kada huyu kauawa kikatili sana.
Yule mjukuu,Asifiwe Kibiki, anasema ,"vijana watatu wamefika,sijui walimlawiti wote,maanake sisi tulikimbia kwa woga,ili na sisi tusilawitiwe."
Lakini hizi habari labda zote zitakuwa kwenye gazeti kesho asubuhi.
Lakini, people have a right to know.
Ukiwaambia watu kuhusu haya maovu,watu wanakuwa alert.
Kwa sababu wanafikiria,"If they do it to the green tree, what will happen to the dry tree?"
Kuna mfumo nchi umeuleaa na sahv unaanza kuwageukia wenyeweDan nchi imekuwa panya road
Wakipigwa kama 9 hivi ndiyo watajua maumivu tunayoyapitia na sisiHatari
Ova
Nyinyi akina nani?Wakipigwa kama 9 hivi ndiyo watajua maumivu tunayoyapitia na sisi
Laiti marehem angelikua mpinzani....hata mimi nimemsikiliza yule binti sijui kama anaelewa maana ya neno kulawiti.
..kwa vyovyote vile tukio lililofanyika kwa huyu Bibi ni la kinyama na tuvihimize vyombo vya dola viwakamate waliohusika.
Raia wema akina mzee Kibao familia na wengineNyinyi akina nani?
Una wema gani wewe mkwepa kodi?Raia wema akina mzee Kibao familia na wengine
Yaani dada angu umechekesha balaaUna wema gani wewe mkwepa kodi?
..marehemu angekuwa upinzania CCM na Polisi wangeanza kumbeza kutokana na aina ya ukatili aliofanyiwa.Laiti marehem angelikua mpinzani..
Unajitoa akili..marehemu angekuwa upinzania CCM na Polisi wangeanza kumbeza kutokana na aina ya ukatili aliofanyiwa.
..sijitoi akili.Unajitoa akili
Laiti marehem angelikua mpinzani..
Lema alisema,wakimsliza wapinzani watamalizana wao kwa waoWamekamatwa wale waliomvamia.
Kumbe walikuwa ni wanaCCM wenzake.