Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Joket ni mngoni sio Iringa, na hata Jenister Mhagama ni mtu wa Songea nio Iringa.Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
connection tupu. Kumbe Jokate pamoja na kitu kile, bado amebebwa na Mhagama!Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa.
Jokate ni mtu wa Songea, acha kudanganya watu.Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
UchocheziHebu lete na mawaziri wanaotoka Tanga uone mziki wake!
Twende kazi tujue nchi hii inaliwa na kina nani. Mi nimecholoza mada.Hebu lete na mawaziri wanaotoka Tanga uone mziki wake!
Kama mama yake ni wa Iringa ina maana sio wa Iringa. We mbantu wa wapi.Jokate ni mtu wa Songea, acha kudanganya watu.
Wakinga ni washirikina haswaKatibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Huwezi kutoboa hii nchi hata uwe bright namna gani bila kubebwaconnection tupu. Kumbe Jokate pamoja na kitu kile, bado amebebwa na Mhagama!
huna akili.Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Bila connection HU TO BO Iconnection tupu. Kumbe Jokate pamoja na kitu kile, bado amebebwa na Mhagama!
Mkuu unapenda sana kusema hivyo πhuna akili.
Lete zako tuzione.huna akili.
Gari imelalia upandeKatibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Wenyeviti wa Bavicha wanatoka Kanda ya ziwa tu ππ₯
Yes, watu walijiuliza Jokate mtoto mdogo amewezaje kutoka kuonesha mapaja hadharani na kuwa DC?Leo huyoooooooooooooo...........kumbe connection za shangazi!Bila connection HU TO BO I