nani kiongozi wa cdm mkubwa anatoka kanda ya ziwa?Wenyeviti wa Bavicha wanatoka Kanda ya ziwa tu 😂🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nani kiongozi wa cdm mkubwa anatoka kanda ya ziwa?Wenyeviti wa Bavicha wanatoka Kanda ya ziwa tu 😂🔥
Mkuu kitu gani?connection tupu. Kumbe Jokate pamoja na kitu kile, bado amebebwa na Mhagama!
hakuna namna.[emoji1787].Mkuu unapenda sana kusema hivyo [emoji23]
KileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeMkuu kitu gani?
Mzee Mbowe kwao MbambabayChongolo na Luhanjo kwao ni Njombe Wilaya ya Wanging'ombe. Joketi Mbinga Mkoa wa Ruvuma, Jenister Songea Peramiho
Asili yake Mara kwa Baba yakeMzee Mbowe kwao Mbambabay
Dr Mashinji na CPA Ruge 😂😂🔥🐼nani kiongozi wa cdm mkubwa anatoka kanda ya ziwa?
Influence ya mashinji tena?Dr Mashinji na CPA Ruge 😂😂🔥🐼
Kwani ubini wa mwisho si unaweza kuwa hata wa mumehakuna namna.[emoji1787].
sasa wewe mtu anakwambia jenista mhagama na jokate ni wahehe, huyo akili anazo kweli?.
Acha Ujinga basiWakinga ni washirikina haswa
Achana na dogo huyo. Hajui the way you write can tell us how low you are.Kwani ubini wa mwisho si unaweza kuwa hata wa mume
Sijakuuliza Jo usijipendekezeWenyeviti wa Bavicha wanatoka Kanda ya ziwa tu [emoji23][emoji91]
Waziri wa Fedha,Waziri wa Mipango ,Waziri wa Maendeleo ya JamiiHebu lete na mawaziri wanaotoka Tanga uone mziki wake!
😂😂😂Mzee Mbowe kwao Mbambabay
Chongolo,Jokate,Lulandala wote Njombe na huyo Luhanjo anatokea Njombe... hao ni wachache sana kati ya wengi wanaotoka ukanda huo walioko kwenye corridors of power!! Huyu mama kashikwa masikio.Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Ndumba vipi?Huwezi kutoboa hii nchi hata uwe bright namna gani bila kubebwa