Iringa kwa teuzi hizi mmetisha. Hakika Mzee Luhanjo amewaacha pazuri!

Iringa kwa teuzi hizi mmetisha. Hakika Mzee Luhanjo amewaacha pazuri!

Gari imelalia upande

Sent using Jamii Forums mobile app
1697462189798.png

1697462213628.png

1697462238073.png
 
Jokate NI mmatengo Kutoka mbinga mkoa wa Ruvuma, anahusiana na Jenister kupitia mama, mama ya jokate na Jenister NI mtu na mdogo wake (Jenister NI mngoni wa Peramiho mkoa wa Ruvuma)
 
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Chongolo,Jokate,Lulandala wote Njombe na huyo Luhanjo anatokea Njombe... hao ni wachache sana kati ya wengi wanaotoka ukanda huo walioko kwenye corridors of power!! Huyu mama kashikwa masikio.
 
Back
Top Bottom