johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
😂😂😂🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂🔥
Jokate mngoni wa Songea hukoKatibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Kati ya kabila hatari nchi hii hili ni mojawapo,namaanisha ule uiringa!Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
😀 😀 😀
Vyeo vya ushemeji na ushangazi![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Ila hawana tija yoyote kwa mkoa. Misifa tu lakini wabinafsi sana wote hao pamoja na kina Lukuvi, Adam Sapi Mkwawa, nk Wazalendo wa Iringa ni wale wasiokuwa na madaraka yoyote ya kisiasa kama kina Hance Pope, Vunja Bei, ASAS nkKatibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
chongolo kwao ni mafinga pale knyanambo B karibu na vilabu vya chula hadi sasa mama yake anauza pombe za kienyeji komoni na kihambule tunaita kwa pooza jino hata hivo kule anaitwa godfrey sasa hilo la daniel ndo huwa linatupa was wasChongolo na Luhanjo kwao ni Njombe Wilaya ya Wanging'ombe. Joketi Mbinga Mkoa wa Ruvuma, Jenister Songea Peramiho. Mangula ni Njombe
Hii nchi hatari Sana. Connection everywhereKatibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Mwigulu Lameck NchembaHuwezi kutoboa hii nchi hata uwe bright namna gani bila kubebwa
Jokate ni mmatengo😂Joket ni mngoni sio Iringa, na hata Jenister Mhagama ni mtu wa Songea nio Iringa.
Utamweza JPm wawatu ,aliua kuku akapasua na mayai yakeconnection tupu. Kumbe Jokate pamoja na kitu kile, bado amebebwa na Mhagama!
Wenye akili za maana ni maprof na wako vyuwoni wanafundisha baadae wana vibanda vya stationery, wanaowaongoza wengine waliiba mitihani na PhD za kununua.Huwezi kutoboa hii nchi hata uwe bright namna gani bila kubebwa
Tuna mfumo wa kishetani snWenye akili za maana ni maprof na wako vyuwoni wanafundisha baadae wana vibanda vya stationery, wanaowaongoza wengine waliiba mitihani na PhD za kununua.