Iringa kwa teuzi hizi mmetisha. Hakika Mzee Luhanjo amewaacha pazuri!

Iringa kwa teuzi hizi mmetisha. Hakika Mzee Luhanjo amewaacha pazuri!

Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Jokate mngoni wa Songea huko
 
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Kati ya kabila hatari nchi hii hili ni mojawapo,namaanisha ule uiringa!

Jamaa wana kiukabilq fulani hvi,nenda SUA uone ukabila wao;

Tunasema sana kuhusu wachaga ila hawa wanakuja speed kubwa.
 
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Vyeo vya ushemeji na ushangazi![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Ila hawana tija yoyote kwa mkoa. Misifa tu lakini wabinafsi sana wote hao pamoja na kina Lukuvi, Adam Sapi Mkwawa, nk Wazalendo wa Iringa ni wale wasiokuwa na madaraka yoyote ya kisiasa kama kina Hance Pope, Vunja Bei, ASAS nk
 
Chongolo na Luhanjo kwao ni Njombe Wilaya ya Wanging'ombe. Joketi Mbinga Mkoa wa Ruvuma, Jenister Songea Peramiho. Mangula ni Njombe
chongolo kwao ni mafinga pale knyanambo B karibu na vilabu vya chula hadi sasa mama yake anauza pombe za kienyeji komoni na kihambule tunaita kwa pooza jino hata hivo kule anaitwa godfrey sasa hilo la daniel ndo huwa linatupa was was
 
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo (Iringa).
Katibu Mkuu UVCCM Lulandala (ameoa mdogo wake na Daniel Chongolo) naye Iringa. Katibu Mkuu UWT Jokate Mwegelo Binti aliyekulia kwa shangazi yake Jenista Mhagama naye Iringa. Albert Chalamila (Iringa) mbali na Philip Mangula (mstaafu) naye Iringa (Sasa Njombe). Kamweneeee........
Hii nchi hatari Sana. Connection everywhere
 
Back
Top Bottom